Ajali ya pickup na daladala mtu mmoja aofiwa kufa!

KILITIME

JF-Expert Member
Nov 17, 2009
265
18
Mtu mmoja haofiwa kufa baada ya pick up double cabin moja yenye namba za usajili T135AKC mali yaSalehe H Salehe kuligonga daladala lenye namba T115 BGJ aina ya NISSAN mali ya M.A.Mfanga inayofanya safari zake kati ya Mabibo na Makumbusho ubuvuni wakati dereva wa picup akijaribu kuwakwepa wanafunzi wa shule waliokua wanavuka katika kituo cha studio hata hivyo haikutambulika mara moja kama dereva huyu wa pickup alikua katika akili za kawaida pia jina la majeruhi hilikufahamika mara moja yaelekea emepatwa na mshituko jinsia ni mwanamke anaekadiriwa kuwa na umri wa miaka kata ya miaka 30-35 hivi!
 
Back
Top Bottom