Jamani kama ni kweli tupe habari, je ni ndege ya shirika gani, ilikuwa na watu wangapi, ilikuwa inatokea wapi, je imetokeaje, watu wangapi wamefariki na je kuna waliopona?
na ndo maana huwa mnadanganywa, mna haraka sana na habari, so far alieanzisha huu.uzi hajui chochote na anasema hajasikia vizuri, inawezekana hajaskia chochote.
Jamani ilikuwa ni mazoezi kujua response ya mahospitali na sio ajali,lakini siku ingne wawe waangalifu m2 kama mwanao ametoka kusafiri huo muda si utapata wazimu,