Ajali ya ndege KIA

Jamani kama ni kweli tupe habari, je ni ndege ya shirika gani, ilikuwa na watu wangapi, ilikuwa inatokea wapi, je imetokeaje, watu wangapi wamefariki na je kuna waliopona?

na ndo maana huwa mnadanganywa, mna haraka sana na habari, so far alieanzisha huu.uzi hajui chochote na anasema hajasikia vizuri, inawezekana hajaskia chochote.
 
Mkuu ulitakiwa ubonyeze Report Abuse/Post ili hatua ichukuliwe haraka! Hata hivyo itafanyiwa kazi!
Ninavyo jua uki-Quote matusi na wewe ulie ko-Quote adhabu inakuhusu....
 
Jamani ilikuwa ni mazoezi kujua response ya mahospitali na sio ajali,lakini siku ingne wawe waangalifu m2 kama mwanao ametoka kusafiri huo muda si utapata wazimu,
 
ni ndege ya vasco.hivyo kesho hakuna kazi.
 
Mbona tunachoshana humu? kama mtu Huna taarifa kamili kaa kimya
 
Peopl 2po makin kujuzwa xo acha a2pe full data na siyo kumdis.
 
Hakuna ajali yoyote. ni mazoezi ya uokoaji kwa ajili ya kuwaweka sawa watu wa uokoaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…