CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,254
- 12,870
kwa mujibu wa headline ya TBC, kuna ajali ya ndege imetokea katika mbuga ya masaai mara nchini kenya. mwenye taarifa zaidi atujuze.
kwa mujibu wa headline ya TBC, kuna ajali ya ndege imetokea katika mbuga ya masaai mara nchini kenya. mwenye taarifa zaidi atujuze.
Hee! hadi kenye kuna mara!?. asante kwa taarifa mkuu. mia
Mara ni mto unaotenganisha Kenya na Tz. Shule ya msingi hukusoma Jiografia? Masai Mara ni mbuga ya wanyama. Kwa upande wa Tz tunaiiita Serengeti.Hee! hadi kenye kuna mara!?. asante kwa taarifa mkuu. mia