Igombe fisherman
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 2,027
- 3,565
Wamekipata walichokitafuta jah. Hii ni hpngera kwaoMtu anaiba mafuta, hilo ni kosa tayari, Polisi wakija kuwakamata kwa wizi wa mafuta, utasikia "Ooo Ccm na Polisi yake hawatoi haki"
haya, mmeachwa mchote mafuta na hatimae mkakipata mlichokipata, lawama "zile zile" kwa Polisi.
KUMAMAKE