Ajali ya Morogoro ni kafara?

Ajali ya Morogoro ni kafara?

2. Pikipiki zilizokuwa eneo la tukio zimeungua. Ila cha kushangaza Mipira ya Magurudumu ya Pikipiki ambayo ni PLASTIC haijaungua au kuungua kidogo.


Magurudumu ni pladtic!!? Nilidhani uzi huu una jambo jipya kumbe mwandishi hajui aandikacho
 
Kuna nini kinafanyika pale yalipotokea maafa? Nimepita juzi nimekuta kuna lorry na viroba vingi vimejazwa udongo ni kama ule udongo unazolewa na kupakiwa kwenye lile lorry, sikuelewa labda mliopo mtupe 1 2 3
 
Basi kama ni kafara mchawi atakua yule teja aliechomoa battery...
 
Rais ajae jina lake la kwanza yaani first name lisianze na herufi "J" ktk mpangilio wa alphabet badala yake tuanze na wale wenye majina yaanzayo na herufi "A,B,D..." Tuangalie ñyota zao hizo JJJ ni kama nuksi♻
 
Rais ajae jina lake la kwanza yaani first name lisianze na herufi "J" ktk mpangilio wa alphabet badala yake tuanze na wale wenye majina yaanzayo na herufi "A,B,D..." Tuangalie ñyota zao hizo JJJ ni kama nuksi
J ni wazalendo na wajenga nchi waliotukuka
 
Back
Top Bottom