mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,787
Kwa kuwa amesema yeye ni jiwe.basi kila shambulizi mnamsukumia yeye





Washaanza watanzania sisi ni wajuaji sanaKumekucha wazee wa speculations![]()

Hiv lini mtaacha iman za kijinga kama hizo.
Ajali kama hiz si mara ya kwnza kutokea? Zimetokea nigeria pia... hapannchini ni kama mara ya pili tofauti ni idad ya watu ...
Ajali ni ajali tu hata iweo ndogo au kubwa. Watu wamepoteza maisha. Tujifunze jinsi ya kukabiliana na ajali kama hiz zinapokea next time
hapo ndo utawachoka watanganyika kitu kikitokeaa waachie habari yote watakupaKumekucha wazee wa speculations![]()
Dereva na huyo Mama waliungua pia. Walibanwa baada ya gari kuanguka. Kuna watu walikuwa wanajaribu kuwanasua na walipoona kuna moto waliwaacha na kutimua mbio.
Hivi dereva,konda na mama abiria wapo wapi?
Ilishatokea Nigeria na Congo,idadi ya vifo ilikuwa vingi si chini ya 100,kwa moto wa petroli kupona ni ngumu
Salama JF members,
Pole kwa wale waliopata msiba na majeruhi katika ajali ya Morogoro.
Mola awajalie marehemu wote Pumziko la Amani AMINA.
Naomba niende kwenye Mada husika,
Binafsi najiuliza kama ajali ya Morogoro ni KAFARA au SIYO KAFARA. Naomba kuainisha sababu zangu Kuu 2.
1. Eneo la Tukio, nimeangalia Leo asubuhi wakati PM akiwa eneo la tukio. Mazingira niliyo yaona ni kama vile Janga ni dogo ukilinganisha na idadi ya vifo na majeruhi.
2. Pikipiki zilizokuwa eneo la tukio zimeungua. Ila cha kushangaza Mipira ya Magurudumu ya Pikipiki ambayo ni PLASTIC haijaungua au kuungua kidogo.
Logic hizo mbili zinanifanya nijiulize kuwa ajali ya Morogoro ya Tarehe 10/8/2019 ni KAFARA au SIYO KAFARA
Nimeambatanisha picha ya eneo husika
Ahsanteni.
View attachment 1178331
Ni ule wakati wa Hoja za kipumbavu pumbavuSalama JF members,
Pole kwa wale waliopata msiba na majeruhi katika ajali ya Morogoro.
Mola awajalie marehemu wote Pumziko la Amani AMINA.
Naomba niende kwenye Mada husika,
Binafsi najiuliza kama ajali ya Morogoro ni KAFARA au SIYO KAFARA. Naomba kuainisha sababu zangu Kuu 2.
1. Eneo la Tukio, nimeangalia Leo asubuhi wakati PM akiwa eneo la tukio. Mazingira niliyo yaona ni kama vile Janga ni dogo ukilinganisha na idadi ya vifo na majeruhi.
2. Pikipiki zilizokuwa eneo la tukio zimeungua. Ila cha kushangaza Mipira ya Magurudumu ya Pikipiki ambayo ni PLASTIC haijaungua au kuungua kidogo.
Logic hizo mbili zinanifanya nijiulize kuwa ajali ya Morogoro ya Tarehe 10/8/2019 ni KAFARA au SIYO KAFARA
Nimeambatanisha picha ya eneo husika
Ahsanteni.
View attachment 1178331
Too sad..Hivi dereva,konda na mama abiria wapo wapi?
check pm bossHivi dereva,konda na mama abiria wapo wapi?