Hivi lori likikuwa la kampuni gani maaana sijaona wakitaja kampuni au mmilikiwa lori hiloWameungua wote, walibanwa na gari
Nataka kujua zaidi Yule dereva wa boda aliyekwepwa na dereva wa lori la mafutaHivi dereva,konda na mama abiria wapo wapi?
KabisaImani za kipuuzi hizi
Huyo mwenye yanga sijui kama alinusurikaOna hapo wanayaoga mafuta halafu unasema kafara!?View attachment 1178370
Hafu kuna watu wanawatetea wale wezi wa mafuta
Wamepata wanachostahili RIP KWA dereva konda na mama abiria pia na wapita njia wote
Anyway sipendagi unafiki najua ntakufa ila vifo vingine vya kujitakia sitaki nife kifo cha kujitakia nature circumstance sio ya kujitakia
Huu ni ujinga !



umeona uwe muwazi.Nichangie kwenye #2; iko hivi, tairi ikiwa imejaa upepo huwaga haiungui ikaisha yan. Ko ndo hivo jamaayangu!Salama JF members,
Pole kwa wale waliopata msiba na majeruhi katika ajali ya Morogoro.
Mola awajalie marehemu wote Pumziko la Amani AMINA.
Naomba niende kwenye Mada husika,
Binafsi najiuliza kama ajali ya Morogoro ni KAFARA au SIYO KAFARA. Naomba kuainisha sababu zangu Kuu 2.
1. Eneo la Tukio, nimeangalia Leo asubuhi wakati PM akiwa eneo la tukio. Mazingira niliyo yaona ni kama vile Janga ni dogo ukilinganisha na idadi ya vifo na majeruhi.
2. Pikipiki zilizokuwa eneo la tukio zimeungua. Ila cha kushangaza Mipira ya Magurudumu ya Pikipiki ambayo ni PLASTIC haijaungua au kuungua kidogo.
Logic hizo mbili zinanifanya nijiulize kuwa ajali ya Morogoro ya Tarehe 10/8/2019 ni KAFARA au SIYO KAFARA
Nimeambatanisha picha ya eneo husika
Ahsanteni.
View attachment 1178331
Acha kumtetea Jiwe wewee ni yeye tu anahusika hamna namna. Wee jiulize ajali zingine yani mnakaribia ufukweni ferry inapinduka na kuzama
Hadi 2025 tutakwisha
si ndi iyo yenyewe kafara wanaogeshwa waungue acheni kumtetea jiOna hapo wanayaoga mafuta halafu unasema kafara!?View attachment 1178370
Mimi nimemtukana hawara ya bibi yakoNmemtukana mama yako!