muyaka bin Haji
Member
- Aug 11, 2011
- 45
- 3
Kwa hiyo ili kuonyesha tunaungana na waznztulitakiwa kuacha kufanya kazi? Aaaaaaghr! Tusitumia "masaburi" kufikiri jamani. Kifo ni kifo hata akiwa mtu mmoja! Kwa hiyo kila ajali ikitokea tuache kufanya kazi ili kuonyesha tunaomboleza?
Pamoja na dharura lakini mombo mengine yanpaswa kuendelea kama kawaida jamani! Kuna msemo mmoja ambao watu hatupendi kuusikia "wacha wafu wawazike wafu wenzao" Waokoaji wanahitaji vifaa, na vifaa vinahitaji fedha! Sasa fedha inatoka wapi kama woooote tungeenda kuomboleza?
Nyinyi viongozi acheni kupiga chenga, jibuni mawswali ya wananchi. Haya maswali yako yanahusika vipi na vodacom kama una akili ya kufikiri. Maswali yako yapeleke wizara inayohusika. Vodacom umeshaambiwa walikuwa wadhami tu.
please ondoa siasa hapaina maana kuwa mtanzania mwenye huruma lazima uwe CHADEMA au CCM? Kama kuna mtu anatetea VODA kwa sababu ya masilahi sorry lakini hii wamechemshana VOdafone wakipata taarifa kuna kaziLeo CHADEMA wa JAMII FORUMS mnamtetea ROSTAM na kampuni yake ya VODACOM!!!!!Kweli nimewavulia kofia
please ondoa siasa hapaina maana kuwa mtanzania mwenye huruma lazima uwe CHADEMA au CCM? Kama kuna mtu anatetea VODA kwa sababu ya masilahi sorry lakini hii wamechemshana VOdafone wakipata taarifa kuna kazi
upumbavu katika rangi zake, kwani VODACOM ndio iliyoendesha ile meli hadi ikazama, kwani vodacom ndio waliruhusu meli ya mizigo ijaze abiria, kwani Vodacom ndio walipaswa kugawa lifejackets baada ya meli kutoboka, ujinga mwinge kwani VODACOM NDIO WALIOVUJISHA MAJI YAINGIE MELINI...HATUFIKIRI KWA KINA ...Tunawaza kipuuzi.
ninavyoona mimi hapa tatizo sio kuendelea kwa shindano la umiss wakati msiba umetokea, ila ni kitendo cha star tv kuonyesha lile tukio live! kwa sababu kama ni starehe mbona nyingi ziliendelea wakati ule? TBC1 walikuwa wanapiga mipasho, kumbi zote za starehe zilikuwa zinaendelea kama kawaida, ligi kuu vodacom iliendelea kama kawaida, ufunguzi wa kampeni igunga uliendelea kama kawaida, redio zote ziliendelea kutwanga miziki! kwa hiyo kama tukio la umiss tz lisengeonyeshwa live na star watu wengi wasingejua kinachoendelea hivyo pasingekuwa na manung'uniko.Mi sioni mantiki ya kuwahukumu vodacom, ajali imetokea wala si bahati mbaya ila imetolkea ;makusudi coz ya uzembe wa watu wanaojali pesa zaidi kuliko maisha ya watu.
Hata kama msibna ni wataifa lakini bado unabaki kwenye familia husika zaidi huwezi sema mi nishindwe fanya kazi niloiyeko Iringa coz ya msiba ulioko znz na kazi hii ndo inayosaidia mi niishi. Wakiwasusia voda si sjhanghai kwani waznz wengi wao wanatumia zantel, na sisi huku tukifuata tutakuwa wazembe coz wtanganyoika na waznz kutofautiana ni kawaida tu.
Sasa mbona sijasikia mkijiandaa kuchoma moto ofisi ya chombo chenu kinachohusika na usafiri wa majini? au ofisi za wizara inayohusika na usafiri wa majini? Kwa nini watu wa aina yenu huwa hamtaki kujinyooshea kidole wenyewe hata kama wenye makosa makubwa ni nyinyi wenyewe? kwani vodacom ndiyo wamesabisha vifo hivyo? aaaaah ZANZIBARIS ARE NARROW MINDED @$$H#^%$.
Siku zote Wanzanzibari (serikali) hawajawahi kuunga mkono mashindano ya umiss. Partly for religious factors. Tukio la juzi ni coincidence tu kwa wao kuhalalisha walichokitaka siku zote. Mi nashangaa, badala ya kuzungumza kuwajibisha viongozi wazembe ambao kwa namna moja au nyingine wamepelekea kutokea kwa ajari hiyo public opinion inaelekezwa kwenye vodacam.
Pili ikumbukwe kuwa vodacom ni mshindani wa Zantel, kampuni ya Wazanzibar. Hii pia ni vita ya kibiashara. SINA HISA VODACOM , SINA NDUGU VODACOM WALA SINUFAIKI NAO KWA LOLOTE. WATANZANIA TUBADILIKE
Nina wasiwasi na chanzo cha hbri hii kama ni kweli.
Kama kususia basi si Voda tu, tv zilizoonyesha, waliojaza ukumbi, waandaaji na hata wewe uliyeangalia umeshiriki kufanikisha hii kitu.
Sasa msikurupuke kuiponda voda wakati mlikodolea macho mwanzo mwisho.
Serikali ya Zanzibar haina mamlaka ya udhibiti kuhusu mambo ya Mawasiliano ya simu. Leseni ya kuendesha kusambaza mawasiliano hutolewa na TCRA iliyo chini ya Wizara husika kule Tanzania Bara.
Hivyo mwenye mamlaka ya kuwajibisha Vodacom au Kampuni yoyote ya mawasiliano ndani ya Jamhuri ya Tanzania ni TCRA na wala si vinginevyo.
Hapa ndipo hoja ya Tundu Lissu kuhusu muungano inapopata nguvu yake. Nitajadili hilo kulingana na michango ilioyoenda shule itakavyomiminika humu.
Kitu pekee Wazanzibari wanazuiwa kufanya ni kulaumu serikali yao. Wanaaminishwa kuwa tatizo n vodacom na hivyo hasira zao zinaelekezwa huko. Sijui bank atawasaidia.
upumbavu katika rangi zake, kwani VODACOM ndio iliyoendesha ile meli hadi ikazama, kwani vodacom ndio waliruhusu meli ya mizigo ijaze abiria, kwani Vodacom ndio walipaswa kugawa lifejackets baada ya meli kutoboka, ujinga mwinge kwani VODACOM NDIO WALIOVUJISHA MAJI YAINGIE MELINI...HATUFIKIRI KWA KINA ...Tunawaza kipuuzi.
Mbona hawaituni TBC iliyopiga densi mchana kutwa, badala ya kuhabarisha WaTZ, mbona hatusikii wale wakaguzi wa meli kule pemba wamechulkuliwa hatua gani?
kwa serikali kujiingiza katika mgogoro huo ni kutowatendea haki Wawekezaji hao na ni uonezi usiokubalika, by the way aja;li imetokea Huko Znz kwa muda ule hakuna alijua kwa hakika ni janga kubwa kiasi katika siku ambayo Miss Tz ilifanyika
voda ni kampuni ya kifisadi na inaongozwa na fisadi sasa shida yenu ni nini leo kuwatetea hawa afisadi?
yeye ana hisa vodacom...! Ukiachilia mbali hili la Miss....wewe unataka pia tuipige vita Vodacom kwa sababu Rostam ana shares pale?Bila kusahau kuwa VODACOM ni kampuni ya FISADI ROSTAM ambaye leo watu wanaitetea humu ndani