Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,582
Kuna ajali ya basi la UDA imetokea maeneo ya kimara Suka,ambapo daladala hiyo iliyokuwa inatoka mjini kwenda MBEZI mwisho imeligonga lori (semi-trailer) iliyokuwa imeegeshwa barabaran ambayo ni mbovu,chanzo cha ajali ni kwamba dereva wa UDA amelivaa kwa nyuma lori hilo,hakuna mtu aliyekufa ila watu wamejeruhiwa sana,basi limepondeka kuanzia mbele,upande wa kushoto mpaka kwenye mlango wa kupandia abiria.
Mmoja wa abiria amejeruhiwa vibaya sana hasa mguu ambao umejeruhiwa kiasi cha mifupa kuwa nje kabisaaa kuanzia ugokoni mpaka mapajani.
Mi nimeishuhudia hiyo ajali baadhi ya abiria wanakimbizwa hospitali kwa bajaji.
Mmoja wa abiria amejeruhiwa vibaya sana hasa mguu ambao umejeruhiwa kiasi cha mifupa kuwa nje kabisaaa kuanzia ugokoni mpaka mapajani.
Mi nimeishuhudia hiyo ajali baadhi ya abiria wanakimbizwa hospitali kwa bajaji.