Kuna ajali mbaya sana imetokea eneo la KIGOGO baada ya DCM kuanguka na kulalia ubavu huku ikiwa na abiria ndani. Sikuweza kujua kama ilikuwa inatokea KINONDONI au Kariakoo kwa sababu ilikuwa imejilala ikiwa imekatiza barabara na kusababisha foleni kali sana. Mwenye updates na vifo ama majeruhi atujuze.