Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimeona kwenye habari dereva wa gari la kampuni hii safari ya Musoma - Dar akilalamikia unyanyasaji na masilahi duni, isije ikawa ndio chanzo cha hizi ajali.saa nne hii leo basi la abiria toka mwanza kwenda dsm limepata ajali eneo la Igunga mjini watu wamekufa na majeruhi kibao -nitaendelea kuwajuza kadri taarifa nitakavyo ipata
saa nne hii leo basi la abiria toka mwanza kwenda dsm limepata ajali eneo la Igunga mjini watu wamekufa na majeruhi kibao -nitaendelea kuwajuza kadri taarifa nitakavyo ipata
Vijana hawa wamiliki wa Mohammed Trans naweza waita ni majuha kwa jinsi wanavyoendesha kazi hii ambayo wanaifanya ni kama ya kusafirisha mizigo na si binadamu, ni bora kampuni hii ikafungwa japo mwaka mzima kwa njia zake zote.
saa nne hii leo basi la abiria toka mwanza kwenda dsm limepata ajali eneo la igunga mjini watu wamekufa na majeruhi kibao -nitaendelea kuwajuza kadri taarifa nitakavyo ipata
sasa kuna taarifa mbili, MTL na NBS CLASSIC. Tuamini lipi?
kama ni MTL-Mohamed Trans LTD, ni jana tu madereva walilalamika mazingira magum ya kufanya kazi zao. sas leo ajali, biashara itawashinda wasiporekebisha hali hiyo