jimjamtz Senior Member Mar 13, 2008 153 28 Aug 25, 2012 #1 Kuna ajali imetokea Eneo la kitonga Mkoani Iringa,hakuna kifo kilichoripotiwa. Tutajuana kadri habari zaidi zikipatitana. Source Mimi Mwenyewe.
Kuna ajali imetokea Eneo la kitonga Mkoani Iringa,hakuna kifo kilichoripotiwa. Tutajuana kadri habari zaidi zikipatitana. Source Mimi Mwenyewe.
P Precise Pangolin JF-Expert Member Jan 4, 2012 12,998 6,659 Aug 25, 2012 #2 jimjamtz said: Kuna ajali imetokea Eneo la kitonga Mkoani Iringa,hakuna kifo kilichoripotiwa. Tutajuana kadri habari zaidi zikipatitana. Source Mimi Mwenyewe. Click to expand... Tupia Picha kama upo eneo la tukio
jimjamtz said: Kuna ajali imetokea Eneo la kitonga Mkoani Iringa,hakuna kifo kilichoripotiwa. Tutajuana kadri habari zaidi zikipatitana. Source Mimi Mwenyewe. Click to expand... Tupia Picha kama upo eneo la tukio
jimjamtz Senior Member Mar 13, 2008 153 28 Aug 25, 2012 Thread starter #3 Tunajitahidi kupata picha,ila watu waliopo site wanatumia cm za kiganjani tuu...soon we shall improve the Alert!!!
Tunajitahidi kupata picha,ila watu waliopo site wanatumia cm za kiganjani tuu...soon we shall improve the Alert!!!
mmbangifingi JF-Expert Member Mar 9, 2011 2,839 559 Aug 26, 2012 #4 jimjamtz said: Tunajitahidi kupata picha,ila watu waliopo site wanatumia cm za kiganjani tuu...soon we shall improve the Alert!!! Click to expand... Mkuu mbona kimya,,hakuna updates uzi wako huu?au zilikuwa fix kuipaka matope Upendo@Budget?
jimjamtz said: Tunajitahidi kupata picha,ila watu waliopo site wanatumia cm za kiganjani tuu...soon we shall improve the Alert!!! Click to expand... Mkuu mbona kimya,,hakuna updates uzi wako huu?au zilikuwa fix kuipaka matope Upendo@Budget?
Mkare_wenu JF-Expert Member Mar 11, 2011 1,714 442 Aug 26, 2012 #5 navyopafahamu mimi kitonga ikitokea ajali sidhan kama kuna mtu anapona pale.
Sizinga Platinum Member Oct 30, 2007 9,101 6,027 Aug 26, 2012 #6 Mkare_wenu said: navyopafahamu mimi kitonga ikitokea ajali sidhan kama kuna mtu anapona pale. Click to expand... Jipange upya bro...wachina wamepamodify sana,inaonekana hujapita pale kitambo
Mkare_wenu said: navyopafahamu mimi kitonga ikitokea ajali sidhan kama kuna mtu anapona pale. Click to expand... Jipange upya bro...wachina wamepamodify sana,inaonekana hujapita pale kitambo
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,702 Aug 26, 2012 #7 Mkare_wenu said: navyopafahamu mimi kitonga ikitokea ajali sidhan kama kuna mtu anapona pale. Click to expand... Inategemea ni ajali ya namna gani..
Mkare_wenu said: navyopafahamu mimi kitonga ikitokea ajali sidhan kama kuna mtu anapona pale. Click to expand... Inategemea ni ajali ya namna gani..
King Kong III JF-Expert Member Oct 15, 2010 51,678 68,660 Aug 26, 2012 #8 Sizinga said: Jipange upya bro...wachina wamepamodify sana,inaonekana hujapita pale kitambo Click to expand... Hata kama wachina wamemodify pale ni hatari sana!!!
Sizinga said: Jipange upya bro...wachina wamepamodify sana,inaonekana hujapita pale kitambo Click to expand... Hata kama wachina wamemodify pale ni hatari sana!!!
figganigga JF-Expert Member Oct 17, 2010 25,492 54,895 Aug 26, 2012 #9 ishibishe habari yako. ni ajali ya aje zimegongana, imeanguka au imekuaje?. mia
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,702 Aug 26, 2012 #10 figganigga said: ishibishe habari yako. ni ajali ya aje zimegongana, imeanguka au imekuaje?. mia Click to expand... Jamaa kaingia mitini.. Mia
figganigga said: ishibishe habari yako. ni ajali ya aje zimegongana, imeanguka au imekuaje?. mia Click to expand... Jamaa kaingia mitini.. Mia
W Whisper JF-Expert Member Jun 2, 2009 502 207 Aug 26, 2012 #11 Sizinga said: Jipange upya bro...wachina wamepamodify sana,inaonekana hujapita pale kitambo Click to expand... Kaka ni Wajapani siyo wachina. Shukrani kwa Bro. Benny Mkapa.
Sizinga said: Jipange upya bro...wachina wamepamodify sana,inaonekana hujapita pale kitambo Click to expand... Kaka ni Wajapani siyo wachina. Shukrani kwa Bro. Benny Mkapa.
Codon JF-Expert Member Dec 16, 2011 628 93 Aug 26, 2012 #12 Whisper said: Kaka ni Wajapani siyo wachina. Shukrani kwa Bro. Benny Mkapa. Click to expand... Nilipita pale wakati wamemaliza kuweka zege!Kuna mabadiliko mengine zaidi?
Whisper said: Kaka ni Wajapani siyo wachina. Shukrani kwa Bro. Benny Mkapa. Click to expand... Nilipita pale wakati wamemaliza kuweka zege!Kuna mabadiliko mengine zaidi?