Ajali ubungo terminal

Ajali ubungo terminal

Chanzo cha ajali wanasema ni ukuta uliokua unavunjwa uliopo kwenye parking wakawa wameuacha sehemu ya juu ya beam/lenta bila kuumalizia.Ilipofika asubuhi ya leo tu mara ukajimalizia wenyewe.Magari yaliyoangukiwa ni 15 na bajaji 3,majeruhi ni 3.
 
kazi ya Mungu haina makosa

sometime tunafanya makosa kusema vifo vya uzembe ni kazi ya Mungu! Mkandarasi ajenge chini ya kiwango, wakaguzi akahongwa na kupitisha, ukuta uanguke ujeruhi watu, halafu tuseme ni kazi ya Mungu!?
 
Hivi ina maana ukuta ule umeanguka lenyewe tu ama ni ujenzi ndiyo umechakachuliwa tangu awali?

Shughuli za kukifunga kituo cha UBT ni pamoja kubomoa sehemu kadhaa za kituo hicho. Kwa sasa UBT hakuna vyoo,lounge ya abiria,na baadhi ya biashara zilizokuwa za kudumu zimefungwa.
Inasemekana tangazo la kutopaki halikuwepo,ila la shughuli za ujenzi lipo ila linapepea kiasi kwamba halisomeki kwa pande zote za eneo hilo.. Hivyo mkuu..
 
Kituo cha UBT kitafungwa na kuhamishiwa Mbezi,pale panatengenezwa ule mradi wa mabasi yaendayo kasi.
Nasikia hata upande wa Ofisi za Ubungo-Maji,ubomoaji utaihusu. Mradi wa mabasi utaathiri mambo mengi sana..
 
Duh, poleni sana wahanga, inabidi ijulikane kampuni inayohusika na ujenzi ili waidai.
 
'i think si bure ni mkono wa mtu kama si mkono basi ni mguu au miguu kabisa,wawajibike au la kama sivyo wawajibishwe'
 
Thanks God mzee aliahirisha safari....yangenikuta haya!!!Mziki wake unakua mtamu pale ambapo bima ya gari lako ni 3rd party!!!lazima ujibebe.....
 
Ndugu yangu, watu tunatembelea magari ya 40m kwa mkopo.Na mkopo wenyewe hatukusema tunanunulia magari maana huenda benki wangesema lazima uwe na comprehesive.Bima 3rd party.Hapo utajua kwanini mtu hukata network ya kufikiri na hatimaye anajinyonga kwa kamba hadi kufa.
 
ajali ya ubungo mungu amenusuru watu tunashukuru msiba ungekuwa mkubwa zaidi. hizo mali bima ipo
 
Back
Top Bottom