Ajali ubungo terminal

Ajali ubungo terminal

Samahani wadau lakini nimeshtushwa na yaliyotokea Ubungo ila nashangaa hapa JF sikliona hilo.
Kwangu JF ndo mambo yote lakini nshangaa hili halipo
 
'.....are you sure for wot ur tokin bout,amka'
 
Ndio hivi tumeliona hapa jamiiforum kama ulivyopost wewe huu uzi, usitegemee mtu mwingine ndio alete mahabari hapa, hata wewe ulivyoileta hii imetusaidia na imesaidia wengine waliokuwa hawajui. Maana inaonekana kama unashangaa kana kwamba kuna mtu tunamlipa hapa ndio awe anatuletea matukio.
Samahani wadau lakini nimeshtushwa na yaliyotokea Ubungo ila nashangaa hapa JF sikliona hilo.Kwangu JF ndo mambo yote lakini nshangaa hili halipo
 
Ni kweli, ila tatizo ni Moderators wameiondoa hiyo post lakini ilikuwepo pamoja na picha kibao. Kuna moderators wanaidhoofisha JF
 
MIGNON; Naona ndiyo unaamka! Nakwambia wakati tu ukuta unaelekea kuanguka hakika ilishabandikwa hapa......,cheze JF weye!


Samahani wadau lakini nimeshtushwa na yaliyotokea Ubungo ila nashangaa hapa JF sikliona hilo.
Kwangu JF ndo mambo yote lakini nshangaa hili halipo

Paw
Invisible + Mods yeyote hebu mpandishieni huyu mwenye usingizi thread ile waiibike wao wenyewe!
 
Last edited by a moderator:
MIGNON; Naona ndiyo unaamka! Nakwambia wakati tu ukuta unaelekea kuanguka hakika ilishabandikwa hapa......,cheze JF weye!




Paw
Invisible + Mods yeyote hebu mpandishieni huyu mwenye usingizi thread ile waiibike wao wenyewe!
Umeshindwa kunijibu bila kuweka neno la MAUDHI? Umetumia a bit sarcastic word.
Hivi watu wote wana access ya internet full time?
Kama hutaki kujibu,kaa kimya kuna waungwana humu watajibu!!!!!!!!
 
'punguzeni jazba wapendwa............ya nini malumbano'
 
Mods nao wakati mwingine unaweza kuwa umelenga habari yako kukaa jukwaa fulani kwa makusudi fulani wao wanaitupa wanakofikiri inafaa kuwapo. bila kukushirikisha hii nayo ni changamoto.
 
Back
Top Bottom