Tulikuwepo mahali ajali ilipotokea,Kwa kweli hii ajali ilikuwa mbaya sana.leo ni mwenyezi Mungu tu aliyetuokoa,nawaombea waliopoteza maisha na Mungu awape faraja ndugu jamaa na marafiki.sheria za usalama barabarani hazifuatwi,watanzania hatujifunzi ........! kilichotukinga ni gari iliyokatiza mbele yetu sisi tukitokea barabara ya Buguruni,hata rafiki yangu alipaniki na kuachia usukani