RubenM
Senior Member
- Apr 15, 2009
- 131
- 10
Mwanzo sikufahamu mkoa gani unaoongoza kwa ajali Tanzania, kumbe Dar es salaam..
Tangazo linalohamasisha umakini wa madereva barabarani linasisitiza na kutukumbusha mwaka 2011 kuwa Dar , ambapo wilaya zake Zina uwezo na hadhi ya mikoa haswa kwa wingi wa wakaazi na magari, KINONDONI, ILALA , na namba tatu ARUSHA KITAIFA...
MWANZO NILIDHANI MBEYA, na MORO ZIPO...
Kwa ajali hizo inamaanisha nini???
Tangazo linalohamasisha umakini wa madereva barabarani linasisitiza na kutukumbusha mwaka 2011 kuwa Dar , ambapo wilaya zake Zina uwezo na hadhi ya mikoa haswa kwa wingi wa wakaazi na magari, KINONDONI, ILALA , na namba tatu ARUSHA KITAIFA...
MWANZO NILIDHANI MBEYA, na MORO ZIPO...
Kwa ajali hizo inamaanisha nini???