Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,903
Mwenyezi Mungu ni mwema.
Pole sana mwandishi wa habari.,.twakuombea upone haraka.
Maana, waandishi wengine huko wanakamatwa hadi na kikosi kazi cha Tanesco kana kwamba Tanesco ina jeshi la polisi.
Waandishi wengine wamepotea kusikojulikana.
Wengine wamuiliwa ...Mwangosi and the likes.
Twakuombea siha njema.
Pole sana mwandishi wa habari.,.twakuombea upone haraka.
Maana, waandishi wengine huko wanakamatwa hadi na kikosi kazi cha Tanesco kana kwamba Tanesco ina jeshi la polisi.
Waandishi wengine wamepotea kusikojulikana.
Wengine wamuiliwa ...Mwangosi and the likes.
Twakuombea siha njema.