Lemaemmanuel
Member
- Jan 30, 2020
- 18
- 28
Kati ya namba 1, 2, 3, 4 nani mwenye makosa kwa mfumo wa undeshaji wa Nchi yetu ya Tanzania.
#Ajalisasabasi
#Ajalisasabasi
3 na 2Kati ya namba 1, 2, 3, 4 nani mwenye makosa kwa mfumo wa undeshaji wa Nchi yetu ya Tanzania.
#AjalisasabasiView attachment 1564192


Sio nchi zote huendeshea kushoto mkuu, kuna wengine ni kuliauzi wa kipuuzi ina maana mleta mada hujui tu kma mtu aliye kushoto kwenye ueleleo wake yuko sahihi
3 ndo mwenye makosa. ukiwa kwenye mstari wa kukatika ina maana no overtake
Kosa lipo kwa aliyebuni tukio ambalo halina uhalisiaKati ya namba 1, 2, 3, 4 nani mwenye makosa kwa mfumo wa undeshaji wa Nchi yetu ya Tanzania.
#AjalisasabasiView attachment 1564192
Wee nae sio dereva,3 ndo mwenye makosa. ukiwa kwenye mstari wa kukatika ina maana no overtake

Soma mada vizuri uielewe!!Sio nchi zote huendeshea kushoto mkuu, kuna wengine ni kulia
Wewe ndio hujamuelewa, mleta uzi yupo sahihiuzi wa kipuuzi ina maana mleta mada hujui tu kma mtu aliye kushoto kwenye ueleleo wake yuko sahihi
Its obvious 2&3Kati ya namba 1, 2, 3, 4 nani mwenye makosa kwa mfumo wa undeshaji wa Nchi yetu ya Tanzania.
#AjalisasabasiView attachment 1564192
Huna haja ya kumtukana, sio kila anaeuliza swali hajui majibu ni brainstorming tu huna haja ya kumwagika povuuzi wa kipuuzi ina maana mleta mada hujui tu kma mtu aliye kushoto kwenye ueleleo wake yuko sahihi