BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,006
Mpaka hapo "askari wa usalama barabarani" watakapohakikisha kwamba waendeshaji wote wanazijua na kuziheshimu sheria za barabarani, wamehitimu kuendesha kihalali na wana leseni zinazotambuliwa, wanaendesha magari ambayo yana sifa ya kuwepo barabarani na pia barabara zetu kuwa na upana unaokubalika. Watanzania tutaendelea kupoteza maisha kwa idadi kubwa kila mwaka. Mwenyezi Mungu azilaze roho za marehemu mahalipema peponi~AMEN.