bampami
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 5,700
- 4,126
Habari nlizonazo toka kwa mmoja wa ndugu yangu ambaye anasafiri ya GREEN STAR akitokea mbeya wamekwama kupita Chalinze baada ya kukuta ajali iliyokutanisha gari ya mafuta na toyota ndogo.
Kuna majeruhi bado wanaendelea kutoa wengine zaidi waliobanwa chini ya gari.
Ntaendelea ku-update zaidi
Kuna majeruhi bado wanaendelea kutoa wengine zaidi waliobanwa chini ya gari.
Ntaendelea ku-update zaidi