AJali nyingine yatokea mda huu Chalinze:

AJali nyingine yatokea mda huu Chalinze:

bampami

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2011
Posts
5,700
Reaction score
4,126
Habari nlizonazo toka kwa mmoja wa ndugu yangu ambaye anasafiri ya GREEN STAR akitokea mbeya wamekwama kupita Chalinze baada ya kukuta ajali iliyokutanisha gari ya mafuta na toyota ndogo.

Kuna majeruhi bado wanaendelea kutoa wengine zaidi waliobanwa chini ya gari.

Ntaendelea ku-update zaidi
 
Ajari ajari ajari, zitatumaliza hata kuliko ukimwi. Mungu twaomba kikombe hiki cha ajari kituepushe mbali.
 
Habri nlizonazo toka kwa mmoja wa ndugu yangu ambaye anasafiri ya GREEN STAR akitokea mbeya wamekwama kupita chalinze baada ya kukuta ajali iliyokutanisha gari ya mafuta na toyota ndogo.
Kuna majeruhi bado wanaendelea kutoa wengine zaidi waliobanwa chini ya gari.

Ntaendelea ku-update zaidi

Toyota ndogo ndio gari gani? Vitz,Fun Cargo,Passo,ist?
 
swali langu tena, hizi ajali mwisho wa mwaka ni hofu za madereva ma maneno ya watu tu, ama ni kweli kunakuwa na kafara ndani yake?
 
Katavi mi najiulizaga sana:
hivi kunamahusiano gani kati ya mwisho wa mwaka na wingi wa ajali???!
Sjapata jibu!

Uhusiano uliopo ni kwamba mwisho wa mwaka madereva wengi waliozoea kuendesha kati ya kinondoni na posta wanageuka madereva wa masafa dar mby, dar bkb ,dar msh, dar songea nk nk . cha ajabu kutokea kwa ajari kitakuwa ni ni wakati idadi ya wanaoendesha magari huku wamesinzia imeongezeka barabarani ?
 
mpaka sahz kuna bonge la folen magar hayaendi,kama unasafir kwenda mkoan ukifika vgwaza folen bado kubwa.
 
swali langu tena, hizi ajali mwisho wa mwaka ni hofu za madereva ma maneno ya watu tu, ama ni kweli kunakuwa na kafara ndani yake?

Mkuu tokea saa 7 usiku hadi sasa hujatoa uthibitisho wowote wala taarifa nyingine yoyote ya ziada kama ulivyoahidi...
 
Ajari ajari ajari, zitatumaliza hata kuliko ukimwi. Mungu twaomba kikombe hiki cha ajari kituepushe mbali.[/QUOT kwa maana imeandikwa waendeshaji wa mwendo wa kasi za ajabu wanatapata ajali

Poleleni
 
Uhusiano uliopo ni kwamba mwisho wa mwaka madereva wengi waliozoea kuendesha kati ya kinondoni na posta wanageuka madereva wa masafa dar mby, dar bkb ,dar msh, dar songea nk nk . cha ajabu kutokea kwa ajari kitakuwa ni ni wakati idadi ya wanaoendesha magari huku wamesinzia imeongezeka barabarani ?

Nakubaliana na wewe kabisa, watu wanafikiri ukishazoea kuendesha gari Ubungo mpaka Posta ni sawa na kuendesha Dar mpaka Mbeya.
 
Back
Top Bottom