white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,618
- 13,880
da!hii ni hatari sana kila cku ajari,ila jamani KENYA nako ndio balaa kwa ajari!
Katavi mi najiulizaga sana:
hivi kunamahusiano gani kati ya mwisho wa mwaka na wingi wa ajali???!
Sjapata jibu!
Kenya nako ni kama huku kwetu ajali?da!hii ni hatari sana kila cku ajari,ila jamani KENYA nako ndio balaa kwa ajari!
Katavi mi najiulizaga sana:
hivi kunamahusiano gani kati ya mwisho wa mwaka na wingi wa ajali???!
Sjapata jibu!
sijui kuna uhusiano gani aisee.
Kuna Mdau (HINI) kaniambia ni wengi wa safari za mikoa ndio unasababisha!
...
Hapa bado najiuliza:
kwani misafara ikiwa mengi si inasababisha foleni ambayo itafanya vyombo vitembee kwa mwendo mdogo! Si ndio?
...
Afu tukiachia safari za mikoa ambazo tunaweza kusema hazina foleni!
Vipi kuhusu hizi ajali za katikati ya jiji?
...
HINI na TCleverly tusaidie na hapa embu!
mwisho wa mwaka watu wengi wanasafiri kurudi makwao....kwa usafiri binafsi na mabasi....wingi huu unajumuisha madereva wa aina zote waliojifunza juzi wasio na uzoefu kila mtu anataka arudi kwao....pia mabasi hata yale yasiyofaa kutembea yanatolewa kwasababu abiria ni wengi wako desparate wanapanda basi lolote...sasa basi ukichukua wingi wa magari+magari mabovu+madereva wasio na uzoefu unapata majanga....
Hahahaah! Hata humo ndani unaweza kupata ajali pia.Mi ntatoka ndani tarehe 1 january
Hahahaah! Hata humo ndani unaweza kupata ajali pia.
mwisho wa mwaka watu wengi wanasafiri kurudi makwao....kwa usafiri binafsi na mabasi....wingi huu unajumuisha madereva wa aina zote waliojifunza juzi wasio na uzoefu kila mtu anataka arudi kwao....pia mabasi hata yale yasiyofaa kutembea yanatolewa kwasababu abiria ni wengi wako desparate wanapanda basi lolote...sasa basi ukichukua wingi wa magari+magari mabovu+madereva wasio na uzoefu unapata majanga....