mwanafyale
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 1,641
- 539
Nimepata taarifa usiku huu kuwa kuna ajali mbaya imetokea barabara ya Moro-Dom iliyohusisha basi la Mohamed Trans. Ajali imetokea eneo la kijiji cha Kiegea. Waliokufa hapo hapo watu 5 na majeruhi ni wengi sana karibu basi zima.
Walioko eneo la tukio watuarifu wana jamvi
Walioko eneo la tukio watuarifu wana jamvi