Kuna jamaa waliwaovertake afu wakatoa bunduki. Katika kuwakwepa ndo Gari ikapoteza uelekeo NA kupinduka. Hiyo ajali ina harufu ya siasa. Wanaona wameshindwa hoja majukwaan sasa wameanza kusaka roho za watu. Piga geuza lazma mtoke!!!Pole zake.Lakini kwa jinsi gari hiyo ilivyobondeka bondeka baada ya kupinduka inaonyesha labda alikuwa mwendo kasi.
Si vibaya wakampima kuona kama alikuwa kanywa viroba vilivyochochea akaendesha mwendo kasi ajabu uliosababisha akapinduka.Ni ushauri tu msinirukie waosha vinywa.
Kuna taarifa kwamba Cuthbert Ngwata, mgombea ubunge Jimbo la Nyasa amepata ajali mbaya sana ya gari asubuhi hii ya leo na kupelekea kifo cha mtu mmoja katika msafara wake wa kampeni.
Taarifa zaidi tutawaleta hapa hapa...
Hali ya kamanda Ngwatta inaendelea vyema akiwa katika hospitali ya Litembo-Mbinga. Gari hiyo imebeba mwili wa Kamanda Pomym kuelekea nyumbani kwao Vwawa Mbozi.
Hali ya kamanda Ngwatta inaendelea vyema akiwa katika hospitali ya Litembo-Mbinga. Gari hiyo imebeba mwili wa Kamanda Pomym kuelekea nyumbani kwao Vwawa Mbozi.
Hali ya kamanda Ngwatta inaendelea vyema akiwa katika hospitali ya Litembo-Mbinga. Gari hiyo imebeba mwili wa Kamanda Pomym kuelekea nyumbani kwao Vwawa Mbozi.