Mwamson
JF-Expert Member
- Jul 3, 2013
- 267
- 91
Ngwata anagombea kupitia CHADEMA, anashindana na Eng. Stella Manyanya wa CCM.
Hili ni Jimbo la marehemu Komba..., liko mkoa wa Ruvuma
mungu atampa ahueni na marehemu mungu amlaze mahali pema peponi.ninachomuomba kamanda asiwe na wazo juu ya kampeni kwani hata akiwa hana miguu kura yake ataikuta ukawa,sie hatuangalii jina wala chama,ukawa,ukawa...........mabadiliko.