AJALI Morogoro: Lori aina ya DAF limegongana na Canter

AJALI Morogoro: Lori aina ya DAF limegongana na Canter

Mwanamwana

Platinum Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
9,602
Reaction score
22,707
Gari aina ya Canter lenye namba za usajili T 798 CNF lililokuwa linatoka Morogoro kwenda Moshi limegongwa na Lori aina ya DAF lililokuwa linawaovertake Magari manne sasa hawaelewi kilichotokea ila bodi ya Lori ikawagonga na wao kuanguka.

Kwa sasa wapo Mazimbu Hospitali Morogoro wakipatiwa matibabu.

Ajali imetokea Bwawani Morogoro.

1.png

2.png
 
Huku mbeya tayari kuna hiace imeingia mtoni kiwira darajani na kuua abiria wote24,ni kutokana na mgomo unaoendlea mbeya wa coaster za kwenda kyela hvyo wenye daladala na noah wanatumia fursa hizo kubeba abiria!!chanzo mwendo kasi na ugeni wa barabara kwa mwenyej wa mbeya atakuwa anaifahamu vizur njia ya mbeya to kyela ilvyo hatari,miteremko na kona kali!!RIP marehemu.
 
wamefariki wangapi hapa kwenye center ,majeruhi? any one with statistic.....

Mungu utepushe na kikombe hiki cha ajali..
 
ajali iliyotokea mbeya
 

Attachments

  • 1429267361921.jpg
    1429267361921.jpg
    99.6 KB · Views: 689
  • 1429267375508.jpg
    1429267375508.jpg
    52.4 KB · Views: 928
  • 1429267386268.jpg
    1429267386268.jpg
    32.4 KB · Views: 1,308
Gari aina ya Canter lenye namba za usajili T 798 CNF lililokuwa linatoka Morogoro kwenda Moshi limegongwa na Lori aina ya DAF lililokuwa linawaovertake Magari manne sasa hawaelewi kilichotokea ila bodi ya Lori ikawagonga na wao kuanguka.


Kwa sasa wapo Mazimbu Hospitali Morogoro wakipatiwa matibabu.

Ajali imetokea Bwawani Morogoro.

View attachment 244218

View attachment 244217

Chachu Ombara unatisha kwa taarifa za ajali + picha
 
Wapi ktk nchi yetu kuna mafundi wakali... ???? Pemba...Bagamoyo...Sumbawanga...Tanga... Monduli....Moshi...nk
 
Back
Top Bottom