AJALI Morogoro: Lori aina ya DAF limegongana na Canter

AJALI Morogoro: Lori aina ya DAF limegongana na Canter

Ajali hizi jamani

Hayo mashavu sasa
avatar18566_7.gif
 
Wale waganga wa kienyeji waliokamatwa kule kanda ya ziwa kwenye ishu ya albino waliwaomba polisi wasitelekeze 'vifaa vyao',wawarudishie lasivyo kuna mabalaa yanakuja.......thinking loud!
 
Ajal zishakua wimbo wa taifa cku hz..,,kila wakat ajal.
 
Kosa ni mliwataka Madereva Manju watowe laki 2 NIT, waendelee na C zao, wamekataa fedheha wamekaa pembeni, wamekuwachieni na Vyuo vyenu, vuneni mlichopanda, Ujuzi hauzeeki!!! Wapeni kazi watoto wa mjomba na kutaka Maslahi NIT.
 
Nyingine imetokea leo ugulilo ikihusisha basi la simba mtoto na lori aina ya scania. 9 wamefariki dunia. Ee Mungu tuokoe na hizi ajali
 
Ina maana haspitali kubwa wameshindw ndio wawapeleke mazimbu? Au mazimbu ndio inakuwa na kiwango cha juu saivi maana ile ni dispensar
 
Imekuwa kama kitu cha kawaida sasa...
 
Nyingine imetokea leo ugulilo ikihusisha basi la simba mtoto na lori aina ya scania. 9 wamefariki dunia. Ee Mungu tuokoe na hizi ajali

Ugulilo ipo mkoa gani?
 
Chuo cha NIT chanzo cha AJAL. Kifungwe, kwani kipo kibiashara zaidi.haya
Madereva wanapaswa kustaarabika tu, kujipenda, kujihishimu, kupenda fani, kutii sharia basi shida hakuna, na baada ya mgomo, madereva mliamua sasa kufanya kazi kwa kiburi pia tatizo
 
Back
Top Bottom