Ajali mbaya yaua eneo la Tengeru, Arusha

Ajali mbaya yaua eneo la Tengeru, Arusha

Poleni wana halmashauri na wote waliofiwa na ndugu zao kwenye ajali,RIP marehemu
 
Poleni sana wafiwa, marehemu wapumzike kwa amani
 
Poleni sana halmashauri na wafiwa wengine wote. Ajali zinazd kupoteza raslimali watu ya taifa.....
 
Umeambiwa Usa river wewe unatuletea stori za Tengeru na Makumira! Kwanza barabara yenyewe imejaa matuta mpaka inatia hasira ukiongezea uendeshaji wa kishamba wa madereva wa Arusha.

Mbona Fundisi Muhapa yupo sahihi mkuu maana mleta uzi amesema imetokea Tengeru kuelekea USA na yeye amekolezea habari eneo la Tengeru kuelekea Makumira barabara inateleza sana ambapo Makumira ni katikati ya Tengeru na USA rivervinginevyo jiografia ya eneo hilo hulijui
 
Last edited by a moderator:
Kitengo cha Usalama barabarani waangalie kwa makini hawa waendesha Hiace..Ni vichaa na muda wote viroba vipo kichwani..
 
Dah hizi ajali too much sasa

Hii miezi hiii !? Inahitaji maombi hapo bado hatujafika december miundombinu ya treni inahitajika kote nchini angalao itapunguza hizi ajali za kizembezembe.
 
Ni ajali mbaya ukizingatia kuwa jami ya mahakama imempoteza mke wa jaji aliyeteuliwa hivi majuzi katika ajali hiyo
 
Back
Top Bottom