samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,024
- 1,237
Poleni wafiwa
Baada tu ya Tengeru kuelekea Makumira barabara inateleza sana. Hadi wameweka kibao ingawa wengi hawafuatilii hilo onyo. Sina hakika ajali hasa imetokea wapi.
Wapepe marehemu na Mungu awaafu mapema majeruhi.
Umeambiwa Usa river wewe unatuletea stori za Tengeru na Makumira! Kwanza barabara yenyewe imejaa matuta mpaka inatia hasira ukiongezea uendeshaji wa kishamba wa madereva wa Arusha.
Uendeshaji wa kishamba ndio upi we punguani ajali zinatokea mikoa yote tena Dar ndio inaongoza japo magari ni mengi huko lakini sio Arusha tu.Umeambiwa Usa river wewe unatuletea stori za Tengeru na Makumira! Kwanza barabara yenyewe imejaa matuta mpaka inatia hasira ukiongezea uendeshaji wa kishamba wa madereva wa Arusha.
Umeambiwa Usa river wewe unatuletea stori za Tengeru na Makumira! Kwanza barabara yenyewe imejaa matuta mpaka inatia hasira ukiongezea uendeshaji wa kishamba wa madereva wa Arusha.