Ajali mbaya yaua eneo la Tengeru, Arusha

Ajali mbaya yaua eneo la Tengeru, Arusha

Jaman kwa sasa watanzania tuwe na huluka ya kuwakemea madreva wanapo endesha mwendo kasi ili kupunguza hiz ajal yaan ajal zimezid
 
Judge Prof Dr.John Eudes Ruhangisa

Former Registrar of EAC amempoteza mke wake kwenye ajali hii.
 
Halafu jamani hii tabia ya kupiga picha maiti tena za ajali ni Mbaaayaaa...how cud u.??? Wat if ni ndugu yako...
 
wito wangu kwa wenyeji wa eneo hilo wale wazawa na wale wahamiaji mukusanyike siku moja na viongozi wa dini zote au madhehebu yote sehemu ile muombe na kusali sehemu ile ili iepukane na izi ajali za mara kwa mara, poleni sana wafiwa wote na wanaichi wote wa eneo hilo, pole sana mh joshua nasari na mh goodbles lema kwa wakati huu mgumu wa misiba hii
 
mwenyezi mungu awasamehe makosa yao na pia awalaze mahali pema peponi na wale majeruhi wakapate kupona kwa haraka .AMINA
 
Mungu awarehemu marehemu ila uendeshaji wa madereva wa mabasi, daladala na bodaboda ni Mungu saidia
 
hiace ilikuwa mpyaaa na ndo cku yakwanzaa barabaran hata hesabu ya cku nahic ilikuwa haijatimia vzur ndo hvo imepigwa kata funua watu tisa davooo au dereva au suka hata hajachubuka popote na mwanafunzi mmoja ndo wamenusurika tuu wengine tisa chaliii gar ilikuwa na mtu 11 tuu R.I.p kwa walotangulia
 
walale mahala pema peponi ndugu waliotangulia mbele ya haki.
 
Umeambiwa Usa river wewe unatuletea stori za Tengeru na Makumira! Kwanza barabara yenyewe imejaa matuta mpaka inatia hasira ukiongezea uendeshaji wa kishamba wa madereva wa Arusha.

kukurupuka kubaya sana, uzi umeandikwa "eneo la tengeru kuelekea usa" kama hujaelewa tuliza marinda hayo. unakosoa wakati hujaelewa somo.
 
hiace ilikuwa mpyaaa na ndo cku yakwanzaa barabaran hata hesabu ya cku nahic ilikuwa haijatimia vzur ndo hvo imepigwa kata funua watu tisa davooo au dereva au suka hata hajachubuka popote na mwanafunzi mmoja ndo wamenusurika tuu wengine tisa chaliii gar ilikuwa na mtu 11 tuu R.I.p kwa walotangulia
na yule suka juzi kati alikua konda
 
Madereva wengi arusha wana matatizo makubwa yanayofaa kufuatiliwa sana na askari wa usalama barabarani, Wanapenda sana ku'overtake' tena wakati mwingine katika mazingira yenye utata sana, pia wanapenda kuendesha nje ya barabara (kushoto) kuwapita walioko kwenye foleni ndogo inayotembea bila kujua wanachoenda kufanya huko mbele ni kupiga pini na kusababisha msongamano au foleni kuwa kubwa zaidi, na hii huwafanya walio na subira kukaa katika foleni hiyo ndogo inayotembea kuonekana hawana haraka au ni wajinga. uzembe huu unafunbiwa macho na wana usalama na matokeo yake tunayaona.

pia utumiaji mkubwa wa miraa na viroba wakati wa kazi nalo ni tatizo kwa madereva wengi arusha...

kwa kifupi wanausalama hawajui kazi yao hapa wanachokifanya ni kukamata magari ya private na kuuliza "hii gari ya nani?" wakiacha daladala zikivunja sheria.
 
ImageUploadedByJamiiForums1414660333.171882.jpg

Ni simanzi na vilio leo vilitawala katika jengo la halmashauri ya wilaya ya Meru,mkoani Arusha kufuatia kupoteza maisha kwa wafanyakazi 3 kwa mpigo waliokuwa wanafanya kazi katika halmashauri hiyo katika ajali iliotokea jana eneo la Madila kilometa moja kutoka mji wa Tengeru,waliopoteza maisha ni wanawake 2 na mwanaume 1 ingawa majina yao hayakuweza kupatikana mara moja,ajari iyo mbaya iliohusisha haice, na loli aina ya scania kugongana uso kwa uso ilisababisha watu 12 kufariki pale pale.
 
Back
Top Bottom