Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
Kuna jamaa ana Gari aina ya Pick up anapotoka ktk mizunguko yake huwa anampakiza mbwa wake mbele na Hboy wake nyuma basi leo akapata ajali na kufa papo hapo, ndipo Traffic ikabidi akamuulize jamaa aliyekuwepo ktk lìle gari TRAFFIC :habari yako kijana unaweza kuelezea jinsi gani ajali ilivyotokea? HOUSEBOY:He! We baada kumuuliza mbwa aliyekaa mbele unaniliza mie niliyekaa nyuma nitajuaje?