Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 816
Shida zako ndo zinakusumbua, toa uchuro wako wewe. Kama hupandagi ndege ni matatizo yako.
Bubu Msemaovyo na Kaka Jambazi, najua baadhi ya watu wasiojua mambo haya, watawaona kama machizi fulani, lakini sisi tunaoelewa tunaelewa mnazungumza nini.Mkuu pole nadhani ni roho ya unabii. Mimi pia nina hali hiyo ila nikipata maono hayo nisipomwambia mtu jambo hilo hutokea. nikisema kwa mtu halitokei.
Sheikh Yahya Husein has been reincarnated!!!Kuna kitu kinaclick kwenye akili yangu kila mara kinachoniambia kuwa kunaajali mbaya ya ndege itatokea tz soon, ndani ya miezi sita ijayo.
Nimejaribu kui-deny hii hali lakini nimeshindwa.
Naombeni muendelee kuomba na kukemea nami, ili hali hiyo isitokee kwani utakua msiba mkubwa na wenye gharama kwa taifa.
kakajambazi hiyo kitu inaclick kivipi?unaota ndoto au unahisi kwa sababu ndege zetu haziaminiki??ukienda kituo cha mabasi ubungo na kuwatangazia wasafiri kuna ajali mbaya itatokea nafikiri wengi wataamini kwa sababu ya uchakavu wa mabasi yetu''
Wewe ni nabii au mchungaji au ni nani??
Ukiziabuse, zinatoweka!.Pasco uko juu! Nemependa telepotation. Nikawaza mbali. Nakaa karibu na benki. Nikipata nguvu hizo mwanangu si nitakuwa njema?
Ila mleta mada jina lake linajielezea kuwa zile roho alizozitenda kutokana na kazi yake ndo zinamletea mauza uza hayo.
Enenda zako ukatubu kwa Mungu wako. By the way jina huumba..........
Ukiziabuse, zinatoweka!.
Matatizo ya kichwa huanza poole poole!!Kuna kitu kinaclick kwenye akili yangu kila mara kinachoniambia kuwa kunaajali mbaya ya ndege itatokea tz soon, ndani ya miezi sita ijayo.
Nimejaribu kui-deny hii hali lakini nimeshindwa.
Naombeni muendelee kuomba na kukemea nami, ili hali hiyo isitokee kwani utakua msiba mkubwa na wenye gharama kwa taifa.
Nahisi mtoa mada anajihusisha na shughuli za ugaidi kwa hiyo ameweka mada hii makusudi kupima uhalisia na ugumu/urahisi wa kutekeleza jukumu lake la kulipua ndege tz