simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Talent force show au nini?
Alazwe pema Kamanda.
Lakini ndege zenyewe zimejichokea ndio maana zinapata ajali.
Ndege mitumba halafu zimekaa miaka mingi bila PM unategemea nini, Manyara ziliua, Chalinze - Segera zikaua tena, Sasa hivi imeua kwa Parachuti kukataa kuchomoka? maana yake ni kwamba hakuna PM-(pre test)...uswahili wetu ni gharama sana
Dah huyo mjeda kafa kifo kibaya....
Jeshi letu kwa sasa linauza MATREKTA
Wamasai nao wanalima......hii sio Tanzania tena
Ndege za Zamani hakuna repair wala maintenance za kueleweka