Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
Ni kama dakika tatu hivi zimepita,kuna ajali mbaya sana imetokea maeneo ya kimara-suka.nimeona ni minibus au hiace inayotokea kibamba kuja katikati ya jiji imevaana na lori.
Kwa haraka haraka watu waliokuwa wamelala pale barabarani(kufa) ni zaidi ya watano.
HII NDIO TANZANIA!ujanja ujanja unagharimu maisha ya watu wasio na hatia
Kwa haraka haraka watu waliokuwa wamelala pale barabarani(kufa) ni zaidi ya watano.
HII NDIO TANZANIA!ujanja ujanja unagharimu maisha ya watu wasio na hatia