Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,024
- 1,618
Anaandika Honest Theobald Mtalo kupitia Ukurasa wake wa X
"Tukio lakusikitisha Kimara Suka Eneo la kivuko cha waenda kwa miguu TANROADS tunaomba mataa
ya kuvukia watu eneo hili. Kati ya tarehe 24-27/12/2023 zimetokea ajali sita tena ni eneo la kivuko cha waendakwa miguu bado za miezi.
TANPOL tunaomba pia msimamie sheria za barabarani madereva wakiona kivuko cha waenda kwa miguu ndio kwanza wanaongeza speed badala ya kusimama watu wanaovuka wavuke.
Mtu anagongwa kwenye eneo ambalo ni salama kwake kuvuka, Zebra za Dar sio salama, TANPOL tunaomba mfuatilie hili.
Ajali ni mbaya sana.
"Tukio lakusikitisha Kimara Suka Eneo la kivuko cha waenda kwa miguu TANROADS tunaomba mataa
ya kuvukia watu eneo hili. Kati ya tarehe 24-27/12/2023 zimetokea ajali sita tena ni eneo la kivuko cha waendakwa miguu bado za miezi.
TANPOL tunaomba pia msimamie sheria za barabarani madereva wakiona kivuko cha waenda kwa miguu ndio kwanza wanaongeza speed badala ya kusimama watu wanaovuka wavuke.
Mtu anagongwa kwenye eneo ambalo ni salama kwake kuvuka, Zebra za Dar sio salama, TANPOL tunaomba mfuatilie hili.
Ajali ni mbaya sana.