Kuna ajali mbaya ya basi imetokea katikati ya Aljaezira na Mikumi. Basi liliacha njia na kuelekea pembeni ambapo limejigeuza na matairi kuwa juu. Majeruhi ni wengi na nimeshuhudia maiti moja ikiwa imefunikwa pembeni mwa barabara. Polisi bado hawajafika eneo la tukio na hapa nipo na majeruhi wanaenda kituo cha polisi mikumi kupata pf3 kwaajili ya kwenda kutibiwa. Basi linaitwa Al-mu(jina gumu). Source mimi mwenyewe nipo kwenye basi la Alsaedy kutoka Mbeya kwenda Dar.