Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,208
- 4,705
Ajali hiyo imetokea maeneo ya Itigi leo Mei 1 , 2021 majira ya saa 11 jioni basi hilo likiwa linatokea Dar es salaam kuelekea Tabora.
Majeruhi wanapatiwa matibabu Hospitali ya Misheni ya Mtakatifu Gaspati iliyopo mji mdogo wa Itigi.
Mganga Mkuu wa Hospitali hiyo Dkt Anatory Rukonge amethibitisha kupokea majeruhi wa ajali hiyo.
Nipashe
Majeruhi wanapatiwa matibabu Hospitali ya Misheni ya Mtakatifu Gaspati iliyopo mji mdogo wa Itigi.
Mganga Mkuu wa Hospitali hiyo Dkt Anatory Rukonge amethibitisha kupokea majeruhi wa ajali hiyo.
Nipashe