keizerjohn
Senior Member
- May 12, 2013
- 113
- 14
Nilikuwa natoka mazoezini jioni ya leo, muda Wa saa mbili kamili hivi usiku huu, nilipofika stand kuu ya mbezi nilivuka barabara kuingia stand tokea upande wa pili. Kulikuwa Na foleni ndefu ya Magari yaendayo ktkt ya mji. Kuna kijama mmoja naye alikuwa anavuka, kumbe Basi la Superfeo kutoka Songea, lilikuwa limetanua kulia kujifanya kuwahi kuliko wengine. Gari la kulia lilimruhusu kijana, alipovuka Gari hilo aliangalia kushoto akaona kweupe, ikumbe Basi hilo alikuwa anaangalia kushoto
Baada ya hapo nini kikatokea?
Baada ya hapo nini kikatokea?
unakimbilia wapi andika kinachoeleweka we sema superfeo imemgonga ... sio stori ndefu ujumbe wa mistari miwili.
Kwahy dereva wa basi amechomwa moto?
Ok...ajali mbaya sana hyo.poleni
unakimbilia wapi andika kinachoeleweka we sema superfeo imemgonga ... sio stori ndefu ujumbe wa mistari miwili.
Kazi ya Mungu haina makosa
Mitanzania ndivo ilivyo