Ajali mbaya maeneo ya Tabata Mwananchi

Ajali mbaya maeneo ya Tabata Mwananchi

barafu

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2013
Posts
6,739
Reaction score
32,916
Wana jamvi,mida ya saa mbili kasoro nilikuwa natoka Ubungo kuelekea nyumbani Kinyerezi via Mandela Road,nikiwa ktk mwendo wa kawaida na familia yangu...mara mbele nikasikia mshindo mkubwa...Hamad!!!!!!!
Gari ndogo imempanda juu dereva wa bodaboda na abiria wake,tairi ya mbele ya bodaboda ilipasuka dereva wake akakosa balance,ikadondoka na gari ndogo iliyokuwa kasi ikawapanda kwa juu...Dereva wa bodaboda kafa on the stop,abiria wake ni majeruhi...Dereva aliyewapanda kapiga mafuta wala hakusimama...Ni simanzi na majonzi,mana dereva huyu ni kijana mdogo na inasadikika kijiwe chake ni hapa Mwananchi...R.I.P Dereva....Get well soon abiria
Update:Abiria nae amefariki,na maiti zipo kituo kidogo cha Polisi Tabata-Relini tayari kwa kupelekwa Amana Hospital
 
Wana jamvi,mida ya saa mbili kasoro nilikuwa natoka Ubungo kuelekea nyumbani Kinyerezi via Mandela Road,nikiwa ktk mwendo wa kawaida na familia yangu...mara mbele nikasikia mshindo mkubwa...Hamad!!!!!!!
Gari ndogo imempanda juu dereva wa bodaboda na abiria wake,tairi ya mbele ya bodaboda ilipasuka dereva wake akakosa balance,ikadondoka na gari ndogo iliyokuwa kasi ikawapanda kwa juu...Dereva wa bodaboda kafa on the stop,abiria wake ni majeruhi...Dereva aliyewapanda kapiga mafuta wala hakusimama...Ni simanzi na majonzi,mana dereva huyu ni kijana mdogo na inasadikika kijiwe chake ni hapa Mwananchi...R.I.P Dereva....Get well soon abiria

Tunawapa pole wote. Madareva kuwa waangalifu!
 
Rip,lkn hawa bodaboda wanatupa sana shida c waendesha magari,mwezi huu nimeshuhudia ajali 6 za bodaboda
 
hawa jamaa hatari sana, na hiyo njia kama hakuna foleni dereva anajiachia....
 
Narudia tena Ujanja Wangu Wote ni Bonge la Mwoga wa Kupanda Pikipiki Haswa za Miguu Miwili Kidoooooooooooo......go Bajaj Napanda ila Roho Mkononi na Kikubwa Zaidi ni Hawa Vijana Jinsi Wanavyojifunza Kuziendesha hizo Pikipiki. Madereva Pikipiki hebu Tuoneeni Huruma basi Sisi Abiria Wenu Lakini na Sisi Abiria hebu Tuwe Makini na Madereva Tunaowakodi. Ni Hatari Mno! Poleni Wafiwa.
 
Pole sana aliyejeruhiwa na dereva bodaboda
apumzike kwa amani.
 
Dah nimesikia uchungu sana jamaa kajikodia piki piki imuaishe kumbe ndio safari imewadia too sad!boda boda guys plz jamani!rip both!
 
Naulizia hiyo update. Ina maana wewe na familia yako mlisimama hapo kwenye eneo la tukio mpaka huyo majeruhi alipokufa pia ukafuatilia mpaka kituo cha Polis?
 
tumeondoa kodi kwenye bodaboda fanyeni biashara vijana
 
Ni Majonzi yetu na POLE kwa nduguze, MwenyeEzi Mungu awarehemu WAHANGA na atulinde tulobaki na uhai.... Ushauri tuwe na tahadhari full time .....
 
Naulizia hiyo update. Ina maana wewe na familia yako mlisimama hapo kwenye eneo la tukio mpaka huyo majeruhi alipokufa pia ukafuatilia mpaka kituo cha Polis?

Ndio mkuu...kwa ajili ya.kusaidia majeruhi n.k...mambo ya first aid na yatokanayo!!Jf inakusanya watu wengi
 
Juzi nilishudia makontena 6 ya viungo bandia bandarini yakishushwa nilipodadisi jibu nililo lipata nimechana kabisa na usafiri huu najikongoja mwezi ujao ninunue kimkweche
 
Daaaah hizi ajali za bodaboda MUNGU atusaidie tu.....zinavyoondoa vijana kuliko hata UKIMWI
 
tumeondoa kodi kwenye bodaboda fanyeni biashara vijana Hapo ndo nilikuwa napataka tatizo la haya mabodaboda yanaingizwa tu nchini bila utaratibu na mamlaka husika isipochukua tahadhari nchi yetu siku za usoni itakuwa na raisi mwenye mguu mmoja, mbunge mwenye mkono mmoja,mjumbe asiye na miguu wapi tunaelekea jmn?? nenda znz km utaona pkpk za kichina, jitu limepata pesa za urithi kesho linaenda k.koo kununua pkpk eti nae boda boda?? aya bana!
 
mimi naziogopa sana hizo ndude ndio maana cjawahi kupanda bodaboda hata niwe na haraka vipi bora nikapiganie daladala...mambo ya mwili wako kuwa body ni hatari aisee anyway rest in peace dereva na abiria wako
 
Back
Top Bottom