Ajali mbaya maeneo ya Tabata Mwananchi

Ajali mbaya maeneo ya Tabata Mwananchi

Poleni wafiwa na tunawaombea kwa Mungu mliotangulia mpumzishwe kwa amani.
 
ajari ina mambo mengi sana, RIP kaka dereva na kaka abiria.
 
Hawa madereva wa bodaboda wana leseni kweli? Wanajua sheria za barabarani?

R.I.P Abira na dereva
 
Majanga na hii barabara kama machinjio vile!! Nakaa garage katikat ya external na mwananchi kwa wale wasiojua but hii Barbara ni zaidi ya machinjio. Kutoka river side mpaka tbt dampo yaani sijui kuna shida gani hapo
 
...loh kifo !kweli tujiandae,si ajabu walitoka kumuaga dr.mvungi,tunajiona tuko na afya njema na bima kubwa...! Saizi wanatoa hesabu ya matendo yao...!
 
Hawa madereva wa bodaboda wana leseni kweli? Wanajua sheria za barabarani?

R.I.P Abira na dereva

kupasuka kwa tairi wala hakuitaji kujua sheria za barabarani na kuwa na leseni.?kikubwa kuwa muuangalifu na kuchukuwa tahadhari barabarani.
 
kama hujawahi kukutana na maswahiba na maudhi ya bodaboda barabarani huwezi elewa hii kitu!
 
Poleni sana.

Na njia hiyo lazima upite kwa mfojo kwenye mishkaki na rasta wangu anaependa kusimama kwenye daraja baina ya segerea na kinyerezi. na fimbo yake
 
Mkuu Barubaru mi simuelewi kabisa yule mzee na rasta zake kila siku pale pale au ni chizi lakn mbona anavaa vizuri.

Poleni sana.

Na njia hiyo lazima upite kwa mfojo kwenye mishkaki na rasta wangu anaependa kusimama kwenye daraja baina ya segerea na kinyerezi. na fimbo yake
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom