Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,020
- 22,093
Sema zitatumalizia walevi wetu daadeqi.
Sana
Sema zitatumalizia walevi wetu daadeqi.
Sasa ufanye jambo ambalo yeye anahisi umekosea uone matusi yao.Kwanza Bodaboda utasema wako juu ya sheria hata taa za Barabarani hawaziheshimu Sheria hawazifuati wengi Leseni hawakati ni kero kubwa kwenye Mabarabara.
Kama unajua, Luguluni ukiwa unatoka mbezi kwenda kibaha, iko wilaya ya Ubungo.Luguruni Ubungo ndio barabara ipi hapa Daaaslam jamani
Mimi juzi nilikuwa naenda Msasani kidogo wanisababishie ajali Polisi kwenye wiki ya nenda kwa usalama wawe wanatoa elimu kwa hawa jamaa.Sasa ufanye jambo ambalo yeye anahisi umekosea uone matusi yao.
Sehemu nyingine barabarani, wengine wanapita kulia kwako wengine kushoto kwako kwa pamoja, ukimkwepa wa kushoto, unamsababishia ajali, alie kulia kwako.
Inawezekana lakini asilimia 90 ya madreva wa malori ya mchanga ni wendawazimu barabarani, nenda ile barabara ya kilwa , usiku wanapokuwa wanafanya kazi zao, ukaone uendeshaji wao, na ilifikia hatua mkoa wa pwani polisi waliyapiga marufuku kuendeshwa baada ya saa 12 jioni!!kwani wao usiku ndio wanafanya kazi kukwepa foleni, mtu ana order kama 12, ni hizo lazima kufikia saa 12, alfajiri awe amemaliza zote, ambapo serikali imeamka, unategemea nini?!!huwezi kujua chanzo cha ajari, huenda kuna bodaboda alikatiza akasababisha yote hayo.
Boda kauziwa kesi 😂😂😂huwezi kujua chanzo cha ajari, huenda kuna bodaboda alikatiza akasababisha yote hayo.
Acha ushamba wewe.Poleni sana.
Huu mkeka wa JPM uwekwe matuta maana unateleza kwelikweli.
barabara ya njia nane unaweka matuta! kweli?Poleni sana.
Huu mkeka wa JPM uwekwe matuta maana unateleza kwelikweli.
Inawezekana ipo siku hata wewe utapata ajali ukiwa kwenye bodaboda au bus labda tu kama Kuna mikataba umewekeana na Mungu ndo unaweza kuwa na uhakika wa maisha yakoScania MABUA.
hao uwa wanajifanya Wana haraka Sana.
Mimi nasemaga boda boda akipata ajali,wenye mascania ya mchanga wakipata ajali,
Wenye mabasi ya mkoa wakipata ajali Wala SIHUZUNIKI.
Kuna hawa wenzao wanaopakia cement njia ya Mji Mwema mpaka Kimbiji. Wasenge sana pia.
Ni mbele ya kituo cha makondeko baada ya chuo cha st Joseph nadhani.baada ya kibamba ukiwa unakuja mbezi mwisho, kwa wakongwe wa mji miaka ya 90 kulikuwa na hoteli nzuri ikiitwa makondeko.
cha kushangaza sisi abiria tunatulia tuliii.Kuna hawa wengine wa mabus ya mikoani yanapita barabara ya bagamoyo wahuni sana kazi yao kutanua tu bila kuangalia usalama wanajiona barabara ni yao.