Deeboyfrexh
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 3,422
- 5,596
Acheni uchawi jamani ile ni Autobhan yetu ya kibabe 😅😅😅 mwendo wa Kimara-Kibaha Dakika 15 tuPoleni sana.
Huu mkeka wa JPM uwekwe matuta maana unateleza kwelikweli.
Acheni uchawi jamani ile ni Autobhan yetu ya kibabe 😅😅😅 mwendo wa Kimara-Kibaha Dakika 15 tuPoleni sana.
Huu mkeka wa JPM uwekwe matuta maana unateleza kwelikweli.
Ndo maana uliacha baada ya kuwa na roho tofauti na wenzio.Mkuu mimi nilikuwa Dereva wa Lori na sijawahi kugonga hata sisimizi
Wale wanatanuaga tu bila kujali😅Kuna hawa wenzao wanaopakia cement njia ya Mji Mwema mpaka Kimbiji. Wasenge sana pia.
Shida sio matuta, je sheria zinafatwa? Uzembe wa watumiaji wa barabara usisingize barabara et inatelezaPoleni sana.
Huu mkeka wa JPM uwekwe matuta maana unateleza kwelikweli.
Broo hawa jamaa hujakutana nao barabarani ama km unaendesha chombo cha moto utajua kwa nn mm sina huruma nao hao wasengehuwezi kujua chanzo cha ajari, huenda kuna bodaboda alikatiza akasababisha yote hayo.
Sikubishii wala kukupinga mkuu!Hata tukisubiri chanzo lakini haiondoi ukweli kwamba madereva wa malori Wana roho za kinyama Sana barabarani.
My point is sio Madereva wote wa Malori ni Wahuni.Ndo maana uliacha baada ya kuwa na roho tofauti na wenzio.
Jitihada:Sasa wanaweka taa za kuongoza magariSiyo magari ya mchanga tu...hii barabara inachinja kila kukicha lakini sioni jitihada zozote kupunguza au kuzuia ajali...barabara ni pana haina kuta za kutenganisha njia na hata taa za barabarani ...njia za wavuka kwa miguu haziheshimiwi kiukweli hakuna siku inapita bila mtu kuuawa hii ni hatari.something must be done
huwezi kujua chanzo cha ajari, huenda kuna bodaboda alikatiza akasababisha yote hayo.
Kumbe ndio maana kila kukicha unaandika upumbavu humu ,hawanaga akili haoMkuu mimi nilikuwa Dereva wa Lori na sijawahi kugonga hata sisimizi
Niliwahi kuwa Dereva wa lori,sasa hivi niko juu zaidi.Kumbe ndio maana kila kukicha unaandika upumbavu humu ,hawanaga akili hao
USSR
... ila madaladala nao ni wapuuzi sana! Yuko kituoni anasubiri hadi gari inayokuja nyuma imemkaribia ndio anaingiza gari yake barabarani tena very slowly na dharau nyingi! Funny enough, anarudi tena hapo hapo kituoni; huwa siwaelewi. Most likely, kwa eneo tajwa, chanzo cha ajali kitakuwa hicho!Hawa madereva wa malori ya mchanga ni wasenge sana hua wanajiona Ile migari haiwezi pata ajari wakaumia walishanikosa kosa sana barabarani kwa ubabe tu sasa R.I.P kwa wale tu kwenye daladala ila hao gari la mchanga waende motoni shenzi zao hao
Jamani, mtoto mzuri katukana!!Kuna hawa wenzao wanaopakia cement njia ya Mji Mwema mpaka Kimbiji. Wasenge sana pia.
Hayo malori ya mchanga yanaendeshwa spidi sana..........Lori la mchanga!
Wanazingua niliwahi kushuhudia ajali mbaya sanaa.Jamani, mtoto mzuri katukana!!