Boveta
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,258
- 3,931
Pole sana my dear.Wanazingua niliwahi kushuhudia ajali mbaya sanaa.
Pole sana my dear.Wanazingua niliwahi kushuhudia ajali mbaya sanaa.
Mkuu kama hujawajua hao wanaoendesha vipisi vya mchanga fujo za boda anasubiri. naishi mazingira hayo kuanzia Maili1 hadi Temboni ajali nyingi ni za hawa wa malori ya mchanga kusababishahuwezi kujua chanzo cha ajari, huenda kuna bodaboda alikatiza akasababisha yote hayo.
Madereva wa magari ya mchanga hawana tofauti na bodabodaLori la mchanga!
Ni pale pale kwenye jengo la wilaya mpya ya ubungo.Luguruni Ubungo ndio barabara ipi hapa Daaaslam jamani
Hawaoni kazi kukusukuma pembeni *****Wale wanatanuaga tu bila kujali😅
Shida ni watu wa dala dala na bajaj pamoja na boda boda kupaki barabarani.Shida sio matuta, je sheria zinafatwa? Uzembe wa watumiaji wa barabara usisingize barabara et inateleza
Ndo hao hao ***** zao woteeeNa wenzao wabeba mchanga njia ya mjimwema-kibada-kongowe mafala sana hawa jamaa!
Kuna wakati naona serikali ifike hatua kuruhusu hizi gari za michanga kuzidi tani 3.5 ziwe zinafanya kazi kuanzia saa3 usiku hadi 10 alfajiri.
Aisee mzee hiyo ni copy and paste designer amelipwa kubadili rangi tu.
WCB kwa copy n paste hawajambo kwa kweli lol,![]()
Hayo malori ya mchanga yanaendeshwa spidi sana..........
Mkuu kama hujawajua hao wanaoendesha vipisi vya mchanga fujo za boda anasubiri. naishi mazingira hayo kuanzia Maili1 hadi Temboni ajali nyingi ni za hawa wa malori ya mchanga kusababisha
... nadhani mlikusudia gari/lori za kokoto na sio mchanga. Mara nyingi njia hiyo gari za mchanga ni fuso ambazo siku hizi zina adabu barabarani! Gari iliyohusika katika ajali hii na (gari nyingine za ukubwa huo) ni ya kokoto kutoka Msata.Madereva wa magari ya mchanga hawana tofauti na bodaboda
Daaaah! Mungu awarehemu marehemu wote na kuwajalia uponyaji majeruhiLori la mchanga limegonga daladala ya abiria inayofanya safari zake kati ya Mbezi Mwisho na Morogoro.
Kuna majeruhi kadhaa na vifo kadhaa
Sema zitatumalizia walevi wetu daadeqi.Kuna wakati naona serikali ifike hatua kuruhusu hizi gari za michanga kuzidi tani 3.5 ziwe zinafanya kazi kuanzia saa3 usiku hadi 10 alfajiri.
Hizo picha nyingine hazifungukiLori la mchanga limegonga daladala ya abiria inayofanya safari zake kati ya Mbezi Mwisho na Morogoro.
Kuna majeruhi kadhaa na vifo kadhaa.
View attachment 2068895View attachment 2068896View attachment 2068899View attachment 2068897View attachment 2068898View attachment 2068900View attachment 2068901View attachment 2068902View attachment 2068903
Boda boda ndo "WABEBA LAWAMA WENU"