Puppy
JF-Expert Member
- Oct 6, 2011
- 2,995
- 2,494
Habari Jamvi.
Leo hii kama mida ya saa Kumi Na Nusu hivi kumetokea ajali mbaya sana iloshirikisha daladala na Lori la mizigo maarufu kama semitrela ama kontena.
Lori hili kampuni ya Bansal lenye usajili namba T472 APG lilikosa brakes na kuanza kuwasha taa na kupiga honi tokea sawmill, ghafla likaja likavamia na kuizoa daladala ilokuwa ikishusha abiria kituo cha kilala. Daladala ni ya Kampuni Ya Massama yenye usajili namba T924 BBK.
Mpaka sasa inasemekana ni Abiria watatu walopoteza maisha(Mungu Azilaze Roho Zao Pema).
Huu ni mfululizo wa Ajali nyingi katika wiki mbili hizi kwenye hii barabara kuanzia kwa mrefu mpaka Usa.
Leo hii kama mida ya saa Kumi Na Nusu hivi kumetokea ajali mbaya sana iloshirikisha daladala na Lori la mizigo maarufu kama semitrela ama kontena.
Lori hili kampuni ya Bansal lenye usajili namba T472 APG lilikosa brakes na kuanza kuwasha taa na kupiga honi tokea sawmill, ghafla likaja likavamia na kuizoa daladala ilokuwa ikishusha abiria kituo cha kilala. Daladala ni ya Kampuni Ya Massama yenye usajili namba T924 BBK.
Mpaka sasa inasemekana ni Abiria watatu walopoteza maisha(Mungu Azilaze Roho Zao Pema).
Huu ni mfululizo wa Ajali nyingi katika wiki mbili hizi kwenye hii barabara kuanzia kwa mrefu mpaka Usa.