client
JF-Expert Member
- Dec 13, 2015
- 661
- 846
Wakuu mida hii kuna pilika nyingi mno inasemekana basi kubwa aina ya Coastline linalofanya safari zake za musoma kwenda arusha imepinduka kwenye kona maarufu kama' Corner ya hatari' iliyoko mita chache kabla ya kufika Mto wa Mbu
MwanaJamiiForum aliyeko maeneo atupe taarifa zaidi
Updates
Shughuli za uokoaji zinaendelea,inasemekana gari limepinduka juhudi za kulipindua zinaendelea
Maelfu ya watu wamekusanyika eneo la tukio wakishuhudia suala la uokozi
Magari mbalimbali ya watu binafsi na ambulance za hospital ziko busy kwa sasa kukimbika kila abiria alitolewa katika basi hilo lililokwama,magari 3 ya shirika la TANAPA wapo shughuli za uokozi
Greda limefika kwa ajiki ya kupindua gari
Updates: Gari tayari limepinduliwa na abiria wengi wao wamepelekwa hospital ya Rhotia na ambao hali ziko vibaya wamehamishiwa hospital ya Lutheran karatu
Update:T aarifa ambazo hazijadhibitishwa ni kwamba watu wanne wamefariki
Wengi Wa abiria hao inasemekana wamevunjika viungo mbalimbali vya mwili
Chanzo cha ajali inasemekana ni break kufeli katika mteremko mkali wenye corner
----
MwanaJamiiForum aliyeko maeneo atupe taarifa zaidi
Updates
Shughuli za uokoaji zinaendelea,inasemekana gari limepinduka juhudi za kulipindua zinaendelea
Maelfu ya watu wamekusanyika eneo la tukio wakishuhudia suala la uokozi
Magari mbalimbali ya watu binafsi na ambulance za hospital ziko busy kwa sasa kukimbika kila abiria alitolewa katika basi hilo lililokwama,magari 3 ya shirika la TANAPA wapo shughuli za uokozi
Greda limefika kwa ajiki ya kupindua gari
Updates: Gari tayari limepinduliwa na abiria wengi wao wamepelekwa hospital ya Rhotia na ambao hali ziko vibaya wamehamishiwa hospital ya Lutheran karatu
Update:T aarifa ambazo hazijadhibitishwa ni kwamba watu wanne wamefariki
Wengi Wa abiria hao inasemekana wamevunjika viungo mbalimbali vya mwili
Chanzo cha ajali inasemekana ni break kufeli katika mteremko mkali wenye corner
----
WANANGU WAWILI WAPATA AJALI, MMOJA AVUNJIKA MGUU NA MWINGINE MKONO
Kuna ajali limetokea karibu na Karatu ambapo Basi la coastline limeanguka na kuua na kujeruhi watu. Watoto wangu wawili Ni miongoni mwa waliokuwemo.
Nimeongea nao kidogo Sana maana wote wamevunjika, mmoja mguu mwingine mkono. Sikuweza kupata Hali halisi kutokana na wao kuanza matibabu.
Basi lilikuwa linatoka Musoma kwenda Arusha. Please mwenye taarifa kamili au jirani na matukio atujuze.
UPDATE
Washapata huduma ya x-ray aliyevunjika mguu anahamishiwa KCMC