Donatila
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,557
- 21,512
Gari kubwa la mizigo aina ya scania lenye No.T724 CUW likiwa na mbao limeanguka asubuhi hii na kuvamia makazi baada ya kuacha njia.
Updates...
Gari kubwa la mizigo aina ya scania lenye Na.T724 CUW likiwa na mbao limeanguka leo asubuhi na kuvamia makazi baada ya kuacha njia na kuvamia upande wa pili wa barabara maeneo ya Mwananchi barabara ya Mandela jijini Dar. Hakuna aliyekufa wala majeruhi.
Updates...
Gari kubwa la mizigo aina ya scania lenye Na.T724 CUW likiwa na mbao limeanguka leo asubuhi na kuvamia makazi baada ya kuacha njia na kuvamia upande wa pili wa barabara maeneo ya Mwananchi barabara ya Mandela jijini Dar. Hakuna aliyekufa wala majeruhi.