AJALI: Basi la Tanzanite lililokuwa linatoka Mwanza kwenda Dar es Salaam lapata ajali Manyoni. Watano wafariki dunia

Hapa ukiangalia tairi Bado jipya kabisa. Wasema dreva mara mwendo kasi mara nini tatizo linabaki pale. Wakulaumiwa ni serikali na tahasisi zake sijuhi tbs. Haya matairi hayana ubora wa kutosha hasa kwa mabasi ya abilia. Pili mwendo kasi wamweka vizibiti mwendo speed 80 Bado ni mwendo mdogo sana kwa mabasi yansyotoka mikoani mimi napendekeza mabasi yote ya kuanzia abiria 45 watumie matairi ya viwango vya kimataifa kwendana na jiografia ya nchi yetu.
Shimo za kwenye Rami hazina cha ubora wa tairi wala nini, zimekaa kama panga vile
 
Hapa ukiangalia tairi Bado jipya kabisa. Wasema dreva mara mwendo kasi mara nini tatizo linabaki pale. Wakulaumiwa ni serikali na tahasisi zake sijuhi tbs. Haya matairi hayana ubora wa kutosha hasa kwa mabasi ya abilia. Pili mwendo kasi wamweka vizibiti mwendo speed 80 Bado ni mwendo mdogo sana kwa mabasi yansyotoka mikoani mimi napendekeza mabasi yote ya kuanzia abiria 45 watumie matairi ya viwango vya kimataifa kwendana na jiografia ya nchi yetu.
Usingalie ubora wa tajiri kwa macho,kuna specifications

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
 
Usitake kunilisha maneno mkuu, mimi sijasema tairi zibadilishwe kila baada ya 1000Km.

Nimesema kwenye magari ya abiria ya masafa marefu mf (Mwz-Dar ni Km zaidi ya 1000), gari halitakiwi kupiga route zaidi ya 4-5 ambazo ni sawa na 6500Km- 7000Km bila kubadilishwa.

Wewe ukadai eti haiwezekani kwasababu ni gharama, hivi kwa nauli ya 60000Tsh - 70000Tsh inashindikana vipi kubadili tyres mbili tu? Hiyo itakuwa sio biashara, na mwisho wa siku ni lazima yapasuke tu.

NB; HIZI Lami zetu zenye changarawe zilizosimama zenye kuyeyuka wakati wa jua kali, haziwezi kusupport haya matairi yatu (ambayo mengi ni mchina) kufanya kazi zaidi ya KM 7000, hasa kwenye BUS.

ANYWAYS SIPO HAPA KUBISHANA MKUU, kila mmoja abaki na anachokiamini.
Hujui uhusiano wa barabara na tairi. Na hujui hata tairi 'mpya' wa according to you. Hujui kwamba inaweza paassuuk ama ppiga mzinga hapo hapo

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna tairi yenye service life ya 7000km acha ujuaji.
Haya matairi yenu fake ndo unataka yatembee zaidi ya 7000KM, tena kwenye mabasi ya masafa marefu kwenye hizi lami zenu za kijinga?? Mtakufa mno😂
IMG_20220819_091320.jpg
 
Hujui uhusiano wa barabara na tairi. Na hujui hata tairi 'mpya' wa according to you. Hujui kwamba inaweza paassuuk ama ppiga mzinga hapo hapo

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
Ninajua mengi sana kuhusu matairi na jinsi ya kuya handle linapokuja swala la magari makubwa.
IMG_20220819_091347.jpg


Naendelea kusisitiza kwa kujiamini kabisa, kwa hizi tairi zenu za mchina tairi za mbele kwenye mabasi ya masafa zibadilishwe baada ya 7000KM (sawa na route 4-5), vinginevyo mtaua sana watu.

Tairi inafunguliwa mbele inarudishwa nyuma (ambako zitakaa mbili kahiyo low risk), kisha mambo mengine yanaendelea.
 
Ccm ndowenye matatizo, mvua kutokunyesha ni kutokana na Sera mbovu za ccm kutokuhamasisha upandaji miti na kukata miti hovyo, kuzidi kwa talaka nikutokana na ugumu wa maisha watu wanaona bora hii ndoa tuachane nayo.. Ugumu wa maisha ni hawa ccm wanauleta, michepuko hawarudishi chenji kwa sababu ya ugumu wa maisha ccm ndochanzo, akirudisha chenji analala njaa
Hahahaha kwa hiyo CcCM ndio iliyo waozesha na ndio iliyo watakisha?
 
Hakuna tairi yenye service life ya 7000km acha ujuaji.
Hana ushahidi wowote anaongea anachofikiria kichwani kwake. Ukimwambia tuwekee wapi ameona tairi inakiwa isiende zaidi ya 7000km anakwambia hayupo hapa kubishana, analisha watu sumu akiwa challenged anaona anabishiwa. Tairi moja linakaribia 1m eti ubadili kila 7000km.
 
Barabara mbovu sana,mashimo Kila mahali,pia idadi ya polisi iwe kubwa Ili kuokoa ajali,polisi wakiwa wengi road madereva wanakuwa makini na huendesha Kwa speed ndogo.
 
Hahaha unataka tyre la mbele la bus la masafa marefu (Mwz-Dar ambapo ni zaidi ya km 1000) litumike mwezi mzima sawa na 30000 KM??

Mtakufa mno kwa ajali za kipumbavu, kisha msingizie ni kazi ya MUNGU.
Ninajua mengi sana kuhusu matairi na jinsi ya kuya handle linapokuja swala la magari makubwa.View attachment 2328118

Naendelea kusisitiza kwa kujiamini kabisa, kwa hizi tairi zenu za mchina tairi za mbele kwenye mabasi ya masafa zibadilishwe baada ya 7000KM (sawa na route 4-5), vinginevyo mtaua sana watu.

Tairi inafunguliwa mbele inarudishwa nyuma (ambako zitakaa mbili kahiyo low risk), kisha mambo mengine yanaendelea.
Kwahiyo hujui kuhusu tire rotation na why it is reccommended every 10000km
 
Hana ushahidi wowote anaongea anachofikiria kichwani kwake. Ukimwambia tuwekee wapi ameona tairi inakiwa isiende zaidi ya 7000km anakwambia hayupo hapa kubishana, analisha watu sumu akiwa challenged anaona anabishiwa. Tairi moja linakaribia 1m eti ubadili kila 7000km.
Akinunua tairi mpya ikavimba baada ya km 500 atasubiri ifike km7000 ndio abadili?
 
Kwahiyo hujui kuhusu tire rotation na why it is reccommended every 10000km
Hiyo tire rotation ambayo ni recommended (10000Km kama unavyodai), sio valid kwa aina zenu za rami ni valid katika mazingira yenye rami za maana (yanakotengenezwa).

Kwa hapa bongo kwenye lami kichaa na hizi tyre zenu za mchina, huwezi kurecommend tyre la mbele la bus (linalokaa moja tu) litembee 10000Km , hiyo ni kufanya kamari kwenye roho za watu.

Safely, kila baada ya 7000Km tairi libadilishwe, ambapo kimsingi zinakuwa zimepungua route 3 tu kutoka hizo 10000Km ambazo ni recommended kama (kama ulivyodai).
 
Akinunua tairi mpya ikavimba baada ya km 500 atasubiri ifike km7000 ndio abadili?
Unanunua tairi inayovimba baada ya Km 500 utakuwa na akili au mshenzi tu?

Kwahiyo utakuwa unasimamisha bus kila baada ya km500 ili kuangalia kama limevimba?? Unaponunua tyre imara (kwa kujihakikishia) kisha likajazwa kwa kuzimgatia vigezo vyote, huwezu kuwa na wasiwasi wa tairi kuvimba 500Km.

Tyre kuvimba 500Km ni aina nyingine ya upumbavu unaoua watu.
 
Back
Top Bottom