Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,476
- 4,755
Hujuma ya nani sasa?....Ajali hizi zimezidi jamani, hii sasa sio mipango ya Mungu, hii ni hujuma
Unaambiwa dereva wa lori alisinzia kwa bahati mbaya akahama njia bado unasema hujuma mkuu?
Hujuma ya nani sasa?....Ajali hizi zimezidi jamani, hii sasa sio mipango ya Mungu, hii ni hujuma
Mlolongo wewe ni member wa muda mrefu kidogo mbona unafukua newz ambazo azikusaidii chochote, naomba tembelea jukwaa la mahusiano kuna mada nyingi zitakazo kurefreshSimba mtoto. Kuna hii Tanga na ile mto Wami. Zote kali
Mlolongo wewe ni member wa muda mrefu kidogo mbona unafukua newz ambazo azikusaidii chochote, naomba tembelea jukwaa la mahusiano kuna mada nyingi zitakazo kurefresh
Mlolongo kenge wewe.... Thread ya 2016 unaifungua leo rudi shule kajifunze kuandika kwanza... Hata ulichoandika akieleweki useless kabisaWewe pumbavu? Unanipangia page za kutembelea wewe kama nani? Umejuaje hazinisaidii. Ndina? Nakuuliza wewe ni ndina?
Wewe ni mburula tuSimba mtoto. Kuna hii Tanga na ile mto Wami. Zote kali
Wewe ni mburula tu
Hahaha
Ova
Lazima wewe ni utopolo.Wewe ni ndina?
Unazngua mkuu, mambo ya telegram yabaki telegram tu...sio poa.
Mkuu hajali haina kingaa.....alafu mbona zimepungua Sanaa asee miaka ya nyuma mwezi Kama December ajali zilikua nyingi sanaAjali hizi zimezidi jamani, hii sasa sio mipango ya Mungu, hii ni hujuma