Bus,kampuni ya Mombasa Raha imepata ajali wilayani Mbogwe asubuhi hii na kuua Dereva wa Bus hilo ndugu Mlingwa.
![]()
Picha zaidi zitawafikia punde
Source: Moja ya Majeruhi.
Hapana kaka huyo alichungulia bila ya kipimo akachelewa kurudi,Mungu amrehemu derevaDuu kachomekewa
Ask Google mapHivi Mbogwe iko mkoa upi? Shinyanga, Simiyu au Geita?
Nadhani ni GeitaMda wa kuokoa majeruhi siku izi haupo, ni selfie tu,.
Mbogwe ipo mkoa gani? Make ilo basi ni la Mwanza Kahama.
OK most likelyHapana kaka huyo alichungulia bila ya kipimo akachelewa kurudi,Mungu amrehemu dereva