kantalambaz
JF-Expert Member
- Dec 24, 2017
- 1,878
- 872
Kisimame ili iweje?Hicho kichwa cha treni kina kiburi sana, yaani kimeendelea na safari hata kusimama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kisimame ili iweje?Hicho kichwa cha treni kina kiburi sana, yaani kimeendelea na safari hata kusimama.
Lkn kuna midereva mingine inajifanya kauzu inapita kavukavu bila kusimamaMakutano ya njia za gar na tren huwa pameandikwa stop.
Kwahiyo ukifika hapo kama una gar yakupasa usitop then utazame pande zote kama hakuna kiberenge bas unaweza endelea na safari zako
Ni hayo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kichwa huwa kinasimama ili iweje
Miaka ya sitini hapo iligongwa basi wakati wa usiku na kuua idadi mkubwa ya manesi wanafunzi.Basi la Kampuni ya BM Coach limepata ajali ya kupinduka leo majira ya Alasiri Machi 4, 2019 wakati likijaribu kukwepa Kichwa cha Treni (Kiberenge) maeneo ya Chekelei wilaya ya Korogwe mkoani Tanga.
Kamanda wa polisi mkoa wa Tanga amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo huku akielezea kuwa dereva wa Basi la BM Coach, akitoka Arusha kuelekea Morogogo alishindwa kusimama katika kivuko cha Treni eneo la Chekelei Mombo, barabara kuu ya Segera/Same.
Ameongeza kuwa; wakati kichwa cha Treni kikikaribia eneo hilo na ndipo basi hilo likagongwa na kulala ubavu huku kichwa hicho cha Garimoshi kikiendelea na safari bila kusimama.
Hakuna taarifa ya vifo kwa sasa isipokuwa abiria kadhaa wamejeruhiwa akiwemo dereva wa BM Coach ambaye ameumia sana. Amesema kamanda wa polisi mkoa wa Tanga.View attachment 1037885View attachment 1037887View attachment 1037888
😂😂😂30mph!!?nitaendesha pikipiki a see AR to DARHivi kweli hakuna njia ya kuwabana? Mie ningeweka speed limit ya 30mph and a stop sign just before crossing. Then juu ningeweka camera na tochi.
Hiyo alama haitoshi, utaratibu wa kusimamisha magari ndio suluhu tosha.Makutano ya njia za gar na tren huwa pameandikwa stop.
Kwahiyo ukifika hapo kama una gar yakupasa usitop then utazame pande zote kama hakuna kiberenge bas unaweza endelea na safari zako
Ni hayo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Inatakiwa kutumia taaluma yako ya udereva ulivyofundishwa chuoni simama ukifika kwenye railway cross na kuangalia pande zote mbili Kama kuko salama vuka.Poleni wote mliofikwa na Adha hiyo.
Kwenye hayo mapishano ya Reli, hakuna watu wanaocontrol magari(kusimamisha magari) pindi treni inapopita?
Au huo mtindo wa kufunga barabara kwa muda ili Treni ipite upo mijini tu?
Sasa kama taaluma haitumiwi, nini kifanyike?Inatakiwa kutumia taaluma yako ya udereva ulivyofundishwa chuoni simama ukifika kwenye railway cross na kuangalia pande zote mbili Kama kuko salama vuka.
Mtagongwa wengi tu kwa kuvuka kienyeji
Ume comment kiungwana sana..Niliikuta hii ajali jana na nikawaambia wenzangu lazima dereva ameumia maana pale mbele paliharibika. Bora hakuna vifo na dereva nae apone haraka
yeah ni kweli japo kama kitu kinazulika kizuilike.Ume comment kiungwana sana..
Akuna mtu anaependa kusababisha ajali..kuna wakati unajikuta huna tena namna ya kuepusha zaidi ya kukubali matokeo tu.
Young kilimanjaro
😂😂😂30mph!!?nitaendesha pikipiki a see AR to DAR