AJALI: Basi la HBS laua wanne na kujeruhi 29

AJALI: Basi la HBS laua wanne na kujeruhi 29

Informer

Platinum Member
Joined
Jul 29, 2006
Posts
1,613
Reaction score
6,735
939116e279b1e1dede7c8ebe24a1d3af.jpg


76d1f758014a84a7756744c42e2d8ef0.jpg


Basi la HBS limepata ajali eneo la Maji Mazuri barabara ya kutoka Mbeya kwenda Chunya.

Watu wanne wamefariki papo hapo 29 hali zao ni mbaya sana.

Basi lilikuwa linaelekea Tabora.

cbcf2889d6b9a3d836aa6640a9d2967d.jpg


VIDEO:

 
Huoni limeandikwa HBS na si NBS. Mungu awaponye majeruhi na waathirika wote
 
Chanzo si ndio kile kilichozoeleka?
I.e kutoka mkuku.
 
badala ya kuokoa majeruhi wewe unapiga picha na kusikitika
 
Chanzo si ndio kile kilichozoeleka?
I.e kutoka mkuku.
Haya mabasi ni mabovu mno kituo chake ni pale magomeni lager opp na oil com spare zake ni za kuungaunga si ajabu baada ya ajali hii akatoa yutong mpyaaaa....kuna mengi kwenye hii biashara
 
Haya mabas ya HBS ni jipu kweli kweli...Walikuwa wanaajiita SABENA baada ya kufungiwa wakabadili jina nakujiita HBS
 
Haya mabas ya HBS ni jipu kweli kweli...Walikuwa wanaajiita SABENA baada ya kufungiwa wakabadili jina nakujiita HBS
Hivi ndo Sabena?

Na SUMATRA wapo wapi?
 
Mwenyezi Mungu awanusuru majeruhi na kuwapunguzia maumivu. Wapumzike kwa amani waliotangulia mbele za haki
 
Haya mabasi ni mabovu mno kituo chake ni pale magomeni lager opp na oil com spare zake ni za kuungaunga si ajabu baada ya ajali hii akatoa yutong mpyaaaa....kuna mengi kwenye hii biashara
Mshanaaaaa!!! Umezidisha ubora..
 
Back
Top Bottom